Kama hauna kazi nenda shamba ukalime,umemaliza degree yako usisubirie ajira nenda kalime inalipa sana.
Watu wameitikia mwaliko kwa moyo wote,sasa bei zinavoporomoka kwa kasi mpaka tunabaki...
Habari zenu wadau,
Mm ni muhitimu wa chuo kikuu nimesomea masoko baada ya kutembea Sana na bahasha bila mafanikio nimeamua sasa mwaka huu niijigize kwenye kilimo ili kupunguza ukali wa maisha...
Wadau ninaomba ushaur. Baada ya kusoma sana humu jf kuhusu ufugaji wa kuku faida na changamoto zake. Nikaamua nianze kukufuga Kuku chotara.kwa sasa Nina tetea 60 na majogo 10 wanao panda ambao...
Wadau, nina mipapai kadhaa ya kisasa, lakini ikitoa maua yanaanguka yote, na hakuna mapapai yanayoshika.
Picha inaonyesha hapo chini.
Je? Tatizo ni nini ? Msaada wadau..
Habarini wadau natumai mu wazima,
Nimekaa na kuwaza sana, nimeona niwashirikishe ili tuweze kujadiliana au kuona ni namna gani naweza kupata mtu wa kushirikiana nae.
Babu yangu anaeishi Arusha...
Habari wakuu,
Nataka kununua basi aina ya coaster au DCM iwe kama daladala hapa Dar, naomba anayejua bei ya DCM au coaster ambayo ni used anifahamishe wakuu, mimi nina million 20 je, naweza...
Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu Vijana,Sera kazi na walemavu ndg Antony Mavunde leo ametembelea shughuli mbalimbali za kilimo cha Green house zinazofanywa na vikundi vya vijana mkoani Morogoro...
Ndugu zangu wana JF nimeleta huu uzi kuwa wilaya yetu ya Hanang ina takribani eka 63000 ambazo ni mali ya serikali kuu. Haya mashamba yapo kwa wawekezaji mbalimbali ambavyo inasemekana...
Wataalam wa kilimo na masoko hodi himu ndani, nauliza jaman na kuomba ushauri pia kwa sasa kuanzia mwezi huu wa Kwanza naweza kulima zao gani? Hususan kwa kumwagilia? Naomba mchango wa mawazo...
Habar za kaz wapendwa
Nina vifaranga vya broiler vina karibia wiki 2 tatzo haviongezeki kwa kasi sijui nimekosea wap? Tisaidiane wenye uzoefu... Booster ipi nzur utawaamsha au nifanye nn?
Thanks
Wadau salaam,
Kumekuwa na maneno kama uvumi kwamba moshi kuna mahindi mapya kutona mashambani yanavunwa muda huu,
Naomba kuthibitishiwa hili na watu wa huko kwani mimi moshi siifahamu kabisa hata...
Kilimo cha kutegemea mvua hakifai kokote duniani.Angalia nchi kama Misri, Israeli, Ethiopia na Sudan ambazo zinakumbwa na ujangwa uliopitiliza, wanalima mno kisasa kwa umwagiliaji toka mto Nile...
Wadau,
Napenda kufahamu ni vipi wakulima wa kahawa wanavyofaidika na ukulima wao, katiika mikoa inayotoa hii kahawa na zipi challenge zao kubwa.
Pia,napenda kufahamu wapi zabibu inatoka vizuri na...
Habari za muda huu wanafamilia ya Jamii Forum na heri ya mwaka mpya pia,
Wakuu,kipato hakikidhi mahitaji ya muhimu na msingi hasa kwa kutegemea mshahara.Hivyo nimeona naweza nikageukia kilimo...
habarini za majukumu,samahani ningeomba kujuzwa kama honey king wananunua asali kwa wauzaji wadogo na kama ndio wananunua kwa bei gani?na kama kuna mtu mwenye mawasiliano yao anisaidie maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.