Mpunga wote umenyauka

Upo wapi mkuu. Pole sana. Huko Kyela hali ni mbaya nilikuwa huko last week mpunga bado kupandwa wanasubiri mvua kwa kweli ni jua na joto kari utadhani tupo Chad. Yaani hata Tukuyu ambako kwa kawaida ni mvua nyingi hali ni ya jua kari na vumbi.
 
Upo wapi mkuu. Pole sana. Huko Kyela hali ni mbaya nilikuwa huko last week mpunga bado kupandwa wanasubiri mvua kwa kweli ni jua na joto kari utadhani tupo Chad. Yaani hata Tukuyu ambako kwa kawaida ni mvua nyingi hali ni ya jua kari na vumbi.
Hatar sana
 
Pole sana ndugu, nimepata hizo habari toka home pia Ng'ombe wamekufa wengi kwa ukosefu wa nyasi na maji.
 
mkuu kesho nataka enda bush kupandikiza mpunga kauli yako inanivunja moyo asee
 
Ila kwelimaeneo mengi bado wanalima wakisubiri mvua nimelima nami nasubiri inyeshe nikasie mbegu, tuzidi kuomba Mungu mvua ije
 
Baada ya kufika shambani nimehuzunika sana, mpunga niliopandikiza umenyauka. Ukame huu twafa!
tupia basi tupicha tuwili tutatu tumfikishe mheshimiwa



J.oka P.oli M.agogoni....
 
Nimetoka bush last week, hali niliowakuta nayo mbuzi wangu, nimehuzunika sana. Mbuzi wanakula hadi karatasi. Huu msimu wa njaa huwa nautumia kununua Mbuzi kwa wafugaji na kuongeza ktk Himaya yangu. Ila this time, nimeishia kuwaangalia tu.
 
Nimetoka bush last week, hali niliowakuta nayo mbuzi wangu, nimehuzunika sana. Mbuzi wanakula hadi karatasi. Huu msimu wa njaa huwa nautumia kununua Mbuzi kwa wafugaji na kuongeza ktk Himaya yangu. Ila this time, nimeishia kuwaangalia tu.
Wapi huko boss
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom