Naombeni ushauri kuhusiana na kilimo

Naombeni ushauri kuhusiana na kilimo

Jongwe

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2008
Posts
1,040
Reaction score
666
Salama wadau. Naomba ushauri kuhusiana na kilimo. Nataka kuanzisha mradi wa kilimo mwisho wa mwaka huu, ningependa kulima mojawapo ya mazao haya, mahindi, mpunga au maharage. Nomba kujuzwa eneo nzuri la kilimo cha mazao hayo na changamoto zake. Nipo tayari kwenda popote pale Tanzania ambapo panafikika na mazao yanaweza kusafirishika kirahisi. Shukrani zangu kwenu kwani mawazo yenu ni mtaji kwangu
 
Unataka kulima kiasi gani...ili upewe msaada wa mawazo na mikakati
 
Salama wadau. Naomba ushauri kuhusiana na kilimo. Nataka kuanzisha mradi wa kilimo mwisho wa mwaka huu, ningependa kulima mojawapo ya mazao haya, mahindi, mpunga au maharage. Nomba kujuzwa eneo nzuri la kilimo cha mazao hayo na changamoto zake. Nipo tayari kwenda popote pale Tanzania ambapo panafikika na mazao yanaweza kusafirishika kirahisi. Shukrani zangu kwenu kwani mawazo yenu ni mtaji kwangu
 
Kama unataka kumwagilia lima morogoro kilombelo...kama unataka kilimo cha mvua nenda mbozi mbeya
 
Back
Top Bottom