kadogoo wakwetu
Member
- Feb 12, 2017
- 12
- 6
Huu ni ugonjwa gani,unasababishwa na nini,na unatibiwa kwa dawa gani?
Asante kwa ushauri mzuri.Mungu na akubarikie na kukulinda.Kuku wana mifuko ya hewa tumboni inayojulikana kwa jina la air sacs. Mifuko hii ni sehemu ya mfumo wa hewa wa kuku. Inapotokea mifuko hii ya hewa kushambuliwa na vimelea vya magonjwa hasa bacteria ain ya E.coli, hupoteza uwezo wake wa kutunza hewa na hivyo hewa huishia kwenye ngozi. Cha kufanya: Kwa kutumia kifaa safi (sterile) chenye ncha kali mtoboe kwenye ngozi ili kutoa hewa hiyo. Hata hivyo hii sio tiba ya kudumu kwani hali hiyo itajirudia kadiri kuku anavyoendelea kupumua kwa hiyo utalazimika kutoboa mara kwa mara. Ili kuzuia tatizo kwa kuku wengine wape dawa ya kuua vimelea vya bacteria kulingana na maelekezo ya dawa husika
Ahsante sanaPole mjasiliamali mwenzangu..
Huo ugonjwa unaitwa gangrenous dermatitis kwa Kuku unasababishwa na clostridium.100%correctHuu ni ugonjwa gani,unasababishwa na nini,na unatibiwa kwa dawa gani?View attachment 470524View attachment 470525