Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Tanzania Educational Publishers ltd ni kampuni inayotoa Elimu na Ushauri mbalimbali kwa Wakulima na Wafugaji kwa njia ya vitabu. tunavyo vitabu vingi kama Ufugaji Bora wa kuku,Kuku wa kienyeji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini. Nimebahatika kupata eneo katikati ya jiji la Dar es salaam nimevutiwa sana na kilimo cha nyanya...maji yapo ya kutosha masaa 24 tatizo linalo nikabili ni udongo wa kichanga kama ule wa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Soil erosion in Tanzania – in pictures
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Wadau heshima KWENU, Naomba mnifungue juu ya elimu ya vitunguu maji na hitaji kulima heka moja yenye ukubwa wa 70m@70m Je! Niandae mbegu kiasi gani? Na elimu nyingine tafadhari nisaidieni...
0 Reactions
14 Replies
11K Views
✍️
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari za mida hii? Kama kichwa cha habar kinavojieleza. Kabla ya kuomba ushauri wacha nitoe habar kamili. Nilifanya uchunguzi mfupi na kugundua Mkoa wa Simiyu Wilaya ya Bariadi iko na wakulima...
2 Reactions
13 Replies
11K Views
Wakuu nahitaji patner au tulime matunda aina ya parachachichi au kupanda miti ya mbao pines . Eneo la kulima ni mkoani njombe Binafsi ninamtaji kiasi na Ardhi kiasi cha eka 15 maalumu kwa kilimo...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
na ni wa gani inatibu msaada plse
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bila shaka mko vizuri,naomba kujua zao gani la msimu kwa sasa,na je msimu wa matikiti ni lini?nataka kuanza mara moja asanteni kwa msaada wenu shamba la kukodi nimepata huko Ruvu!!na je mboga...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wahusika walio somea koz hiyo hapo juu naomba mjitokeze ili nawengine wapate faida
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama ilivyo ktk kichwa cha habari. Naomba kujuzwa bei ya ufuta kwa Mikoa ya Lindi ,Mtwara na Pwani.
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Salam wanajamvi. Tafadhali naomba mawasiliano ya fundi anaetengeneza kaushio la mboga linalotumia mwanga wa jua. Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dear Sir, We are , Şah Tarim foreign trade company , we are glad to share a brief company introduction with your esteemed company requesting your feedback on our products. our company is...
1 Reactions
0 Replies
689 Views
Ndugu wafugaji na wajasiriamali naomba kama kuna mjasiriamali anaeweza kuniambia nitapata wapi mbuzi WA nyama aina ya Boer ..Kuna wakati nilipita mawasiliano na MTU WA Dodoma akasema anazo lakini...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Ndugu zanguni, natumaini wote wazima wa afya. Naomba kujua gharama za ujenzi wa banda la mbuzi zipo vipi. Nimepanga kuanza na mbuzi 10 maeneo ya kibaha. Lakini iwapo nitafanya vizuri kwenye...
0 Reactions
16 Replies
10K Views
Habari wana jamii forum, naomba nijue kitu kuhusu kilimo cha mahindi na kunde...tangu kupanda mpk mavuno huwa inachukua muda gani? kama mtu aliyeanza kupanda tangu mwezi wa tatu anategemea kuvuna...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Dear Sir, We are , Şah Tarim foreign trade company , we are glad to share a brief company introduction with your esteemed company requesting your feedback on our products. our company is...
0 Reactions
0 Replies
670 Views
Wakuu naomba ushauri wenu nimenunua shamba eneo la Vigwaza Buyuni ni zao gani linaweza kunitoa kimaisha maana kwa sasa sina kazi na nina mtaji wa 500,000/= bank. Nahofia nikifanya biashara pesa...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Jamani hawa jamaa siwaelewi kabisa nilikuwa nimedhamilia kuingia ktk ufugaji lkn jamaa hawa wanakatisha tamaa nimelipia ng'ombe nikaambiwa nisubili wapandishwe sasa sijawapata kila nikiulizia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
tujadili mada hii, ni vitu gani vifanyike ili huduma ya bima iweze kua nzuri na yenye tija kwa wakulima kama ilivyo katika sekta nyingine kama afya na vyombo vya moto.
2 Reactions
0 Replies
875 Views
Back
Top Bottom