Tanzania Educational Publishers ltd ni kampuni inayotoa Elimu na Ushauri mbalimbali kwa Wakulima na Wafugaji kwa njia ya vitabu. tunavyo vitabu vingi kama Ufugaji Bora wa kuku,Kuku wa kienyeji...
Habarini. Nimebahatika kupata eneo katikati ya jiji la Dar es salaam nimevutiwa sana na kilimo cha nyanya...maji yapo ya kutosha masaa 24 tatizo linalo nikabili ni udongo wa kichanga kama ule wa...
Wadau heshima KWENU,
Naomba mnifungue juu ya elimu ya vitunguu maji na hitaji kulima heka moja yenye ukubwa wa 70m@70m
Je! Niandae mbegu kiasi gani? Na elimu nyingine tafadhari nisaidieni...
Habari za mida hii?
Kama kichwa cha habar kinavojieleza.
Kabla ya kuomba ushauri wacha nitoe habar kamili.
Nilifanya uchunguzi mfupi na kugundua Mkoa wa Simiyu Wilaya ya Bariadi iko na wakulima...
Wakuu nahitaji patner au tulime matunda aina ya parachachichi au kupanda miti ya mbao pines
.
Eneo la kulima ni mkoani njombe
Binafsi ninamtaji kiasi na Ardhi kiasi cha eka 15 maalumu kwa kilimo...
Bila shaka mko vizuri,naomba kujua zao gani la msimu kwa sasa,na je msimu wa matikiti ni lini?nataka kuanza mara moja asanteni kwa msaada wenu shamba la kukodi nimepata huko Ruvu!!na je mboga...
Dear Sir,
We are , Şah Tarim foreign trade company , we are glad to share a brief company introduction with your esteemed company requesting your feedback on our products.
our company is...
Ndugu wafugaji na wajasiriamali naomba kama kuna mjasiriamali anaeweza kuniambia nitapata wapi mbuzi WA nyama aina ya Boer ..Kuna wakati nilipita mawasiliano na MTU WA Dodoma akasema anazo lakini...
Ndugu zanguni, natumaini wote wazima wa afya. Naomba kujua gharama za ujenzi wa banda la mbuzi zipo vipi. Nimepanga kuanza na mbuzi 10 maeneo ya kibaha. Lakini iwapo nitafanya vizuri kwenye...
Habari wana jamii forum,
naomba nijue kitu kuhusu kilimo cha mahindi na kunde...tangu kupanda mpk mavuno huwa inachukua muda gani? kama mtu aliyeanza kupanda tangu mwezi wa tatu anategemea kuvuna...
Dear Sir,
We are , Şah Tarim foreign trade company , we are glad to share a brief company introduction with your esteemed company requesting your feedback on our products.
our company is...
Wakuu naomba ushauri wenu nimenunua shamba eneo la Vigwaza Buyuni ni zao gani linaweza kunitoa kimaisha
maana kwa sasa sina kazi na nina mtaji wa 500,000/= bank.
Nahofia nikifanya biashara pesa...
Jamani hawa jamaa siwaelewi kabisa nilikuwa nimedhamilia kuingia ktk ufugaji lkn jamaa hawa wanakatisha tamaa nimelipia ng'ombe nikaambiwa nisubili wapandishwe sasa sijawapata kila nikiulizia...
tujadili mada hii, ni vitu gani vifanyike ili huduma ya bima iweze kua nzuri na yenye tija kwa wakulima kama ilivyo katika sekta nyingine kama afya na vyombo vya moto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.