Nahitaji utalaamu wenu wakuu

Nahitaji utalaamu wenu wakuu

The Chosen One

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2017
Posts
3,579
Reaction score
17,013
Naomba kuuliza kuna madhara gani ya kuwalaza kuku na bata kwenye banda moja???.
 
Bata wana uwezo mkubwa wa kuvumilia magonjwa kuliko kuku. Hivyo ni vyema kuwatenganisha
 
Mkuu Kama una nafasi ndogo unaweza tu kuwaweka pamoja cha muhimu weka vichanja ili kuku walale juu wanapenda sana kulala juu na bata walale chini Ila kama unafuga bata bukini inabidi utenganishe maana ni wakali sana.
 
Mkuu Kama una nafasi ndogo unaweza tu kuwaweka pamoja cha muhimu weka vichanja ili kuku walale juu wanapenda sana kulala juu na bata walale chini Ila kama unafuga bata bukini inabidi utenganishe maana ni wakali sana.
Asante sana mkuu ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom