Msaada Mbegu bora ya Chotara

relis

JF-Expert Member
May 24, 2015
3,188
4,762
Wakuu habari!,Mimi nataka nianze ujasiliamali wa ufugaji wa kuku jamii ya chotara nilichotaka kufahamu katika hawa chotara aina mbili kati ya kuroiler na wale wa Malawi ipi mbegu bora katika ufugaji kuanzia ustahilivu wa magonjwa,utagaji hata maumbo yao,upatikaji wa vifaranga vyao na masoko yao,natanguliza shukran .
 
changanya ila malawi kwangu ni best ila kama unaanza chukua wakubwa wakubwa
 
changanya ila malawi kwangu ni best ila kama unaanza chukua wakubwa wakubwa
Niko Dom Mkuu ila nikiulizia hii mbegu naona ni adimu msaada wa maswali mengine niliyouliza ikiwemo utagaji na ukubwa wa nyama(miili) yao
 
Back
Top Bottom