Msaada biashara ya matikiti maji

ndugaseli

JF-Expert Member
May 17, 2017
869
2,405
Habari zenu wakuu, mimi ni kijana wa kiume ninaetaka kujikwamua kwenye janga la umaskini kupitia vimitaji vidogo lakini biashara ninayo ona itanifaa ni kuchukua matikiti bush kuyaleta town.

Kwa yeyote anayejua au aliyewahi kufanya biashara hii anipe njia ya kupata masoko kiwepesi bila kupitia mikona ya dalali 'nawasilisha kwenu kwa ushauri zaidi wakuu'.
 
Tikiti sikushauri mkuu heri uchuke ht nyanya,nyanya chungu,hoho karoti uuze tikiki kwa sasa halifanyi vzr sokoni
 
Tikiti sikushauri mkuu heri uchuke ht nyanya,nyanya chungu,hoho karoti uuze tikiki kwa sasa halifanyi vzr sokoni
kwel mkuu ? maana nlisikua kua tikiti limekua adim kwa 7bu ya mvua za mfululizo hvyo bei iko juu ndo mana nikasema kua kamtaj kangu kanaweza kumudu anyway nashukur kwa ushaur ngoja nifanye utafti juu ya hvyo ulivyovisema mkuu
 
kwel mkuu ? maana nlisikua kua tikiti limekua adim kwa 7bu ya mvua za mfululizo hvyo bei iko juu ndo mana nikasema kua kamtaj kangu kanaweza kumudu anyway nashukur kwa ushaur ngoja nifanye utafti juu ya hvyo ulivyovisema mkuu

Utafiti ndo kila kitu hope utapata jibu sahihi
Pambana!
 
Back
Top Bottom