Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Tuamke tukaanze Kilimo wakuu hali ni mbaya siyo lazima wote mkaajiriwa. Mimi Roho huwa inaniuma Mtu anavyokuja na Kuandika thread nataka Sehemu ya Kujitolea bila Malipo hebu Imagine Sehemu hiyo...
43 Reactions
460 Replies
46K Views
Habari zenu wakuu, mimi ni kijana wa kiume ninaetaka kujikwamua kwenye janga la umaskini kupitia vimitaji vidogo lakini biashara ninayo ona itanifaa ni kuchukua matikiti bush kuyaleta town. Kwa...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Wakuu ninauza mahindi gunia kwa bei tajwa hapo juu nipo Dar es Salaam kwa atakae hitaji karibuni sana ifahamike wazi ni gunia la 100kg.
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wada mnajua yakua kuna vilimo vya mazao mengi sana sasa nina million I nataka nilime kati ya mwaka 2018 je mnaweza kunishauli kilimo gani ambacho ukilima huaga uakika yan kwamba akikupi hasara...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
naomba kuelekezwa ni namna gani kuanza kilimo cha nyanya. kuanzia hatua ya kwanza mpaka ya mwisho.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau wa Kilimo nipo Kongowe - Kibaha natafuta mbegu ya kiroba nzuri ya kutosha heka tano yaani vipande/vipandikizi 20,000. Mashariti mbegu iwe imekomaa isipungue umri wa miezi 9 shambani.
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Wakuu tokea masika tu kuisha mipapai yangu imekuwa na muonekano huu. Nilimtafuta kijana mmoja mlima bustani na kumuomba aliulizie wataalam wa mimea kama ni shambulio, jibu likawa ni ukungu. Sasa...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Naitaji wadau wenye nia ya dhati kufanya kilimo hiki kwa soko la nje na ndani tushare mambo....... Ni mzoefu na tafuta partner's wa kufanya hii project. Moshi 0763370175 watsup
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mi nipo mwanza nyegezi malimbe naomba kuelekezwa wauzaji wa miche ya mbogamboga kama nyanya chungu na n.k. sim no 0746465455
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Samahani wadau nasikia wiki 2 zilizopita Tz imeingia makubaliano na serikali ya China kuanzisha kiwanda kitakochokuwa kinaprocess muhogo,hapa nikiri kwamba sina details za kutosha but kwa upande...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Lango la kuungana na partner 2 ili tuwe 3 tuingie kwenye kilimo cha kisasa katika hiyo mikoa kati ya MOROGORO AU MBEYA ni kuunganisha nguvu ili tuandae shamba,tulime,na tusimamie wenyewe. Karibuni PM
0 Reactions
1 Replies
803 Views
Habarini wakuu! Nimekuwa nikitafuta tafuta vipesa kwa muda mrefu, ila nimebahatika kupata kama milioni 5. Napenda kuwekeza kwenye chakula hasa mahindi. Tatizo ninalopata ni kuwa nimepata vipesa...
0 Reactions
29 Replies
9K Views
Kichwa kina husika kama upo tayari na upo kwenu au sehemu ya kukuruhusu kufuga kuku, natoa laki tano maelezo kwa koment ntakupa
4 Reactions
52 Replies
7K Views
Habari wakuu,poleni kwa ukata,Na hongereni kwa sikukuu ya pasaka. Wakuu mshahara wangu ni nusu kipenyo sasa nikaona nijiongeze kwa kulima bustani ya Nyanya. Kwa wale wataalam Na wazoefu naomba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Katika hotuba ya Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi leo 19/05/2017 bungeni kuhusu bajeti ya 2017/2018,amesema, "Hadi kufikia Machi 2017 jumla ya tani 3,162.65 za nyama ziliuzwa nje ya nchi katika...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hi, mimi ni mtaalamu wa mifugo kwa wanyama mbalimbali kama mbwa, kuku, bata maji, bata bukini, Nguruwe, kondoo, mbuzi etc...kwa wakazi wa bagamoyo, bunju, boko, goba,mbezi, kimara......Gharama...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nataka kujua mkoa gani wanalima matikiti na bei ya kukodi shamba ekari moja.
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Wadau nimepata mchongo wa shamba maeneo ya Bagamoyo, kama unaingia eneo maarufu kwa jina la KIWANGWA. Je,ni mazao gani yanafaa kulimwa katika eneo hili?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mimi ni kijana wa miaka24 maisha yangu napenda sana kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji, nimefanikiwa kupata ardhi inayoniwezesha kufanya kilimo na mimi nimefikiria kupanda miti ya mbao na miembe ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuku wa mayai (layers) wekundu wakubwa wanauzwa. Wanapatikana kimara Dar es salaam.Wanafaa kwa kuliwa. Mawasiliano 0716927054 Wapo 70 na bei ya jumla ni 7,000@. Karibuni.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom