Ndugu zangu napenda kuwataarifu kuwa mvua zimeanza ,karibia kila kona ya tanzania,nyanda za kusini,kanda ya ziwa, pwani,kanda ya kati, kazikazini na kwingineko.
kazi kwenu. mi tayari niko kwa shamba
Hello team, nahitaji kufanya biashara ya ununuzi wa choroko so ningependa kujua hasa msimu wa mavuno unaanza lini na ni mikoa ipi hasa choroko upatikana kwa wingi ili nianze kujipanga mapema...
Kwa wale walio na mtaji mdogo na wanajiuliza watauzungushaje mimi ni Mjasiriamali ambae nauza viatu vya kimasai jumla kuanzia pea 10 kwa shilingi elfu 13 na rejareja vinauzwa kuanzia elfu 17 mpaka...
habari zenu wana JF poleni kwa majukumu nilikuwa na omba msaada kwa anayefahamu mbegu nzuri kwa ajili ya kilimo cha karanga na inayokaa sokoni mda mrefu bila kuharibika pamoja na hatua za ulimaji...
Bado najifunza Kilimo,ninazo green house kubwa 7 ambazo nimepewa niinvest baada ya kuonyesha interest kwenye Kilimo.Zote zina system ya drip irrigation, Maji ya kutosha na full equiped.Zipo...
habarini wakuu,
naomba kupata muongozo wapi naweza kupata maelezo ya kina kuhusu hali za hewa za mikoa ya Tanzania na mazao yanayoweza kustawi katika mikoa husika. napenda kupata takwimu za...
Mimi naishi mbeya Kusema ukweli sijawahi kupenda kulima sababu ya kunyanyaswa wakulima. Ila nimejaribu kutokana na hali ngumu. Ila mwaka huu umekuwa wa ajabu. Mwaka Jana muda kama huu mvua ilikuwa...
Wale Wakulima tunaotegemea mvua msimu ndio huu hapa. Nawakaribisha tujumuike kwa pamoja na tupeana uzoefu wa kilimo hiki hususani kwa kutumia tafiti walizotangaza TMA. Tukianza na wale...
Wakuu 'Posuta'
Mi ni mdau ninaetaka kuhamia Karatu hivi karibuni kikazi..ila pamoja na hayo mi ni mjasiliamali kwenye kilimo na ufugaji hivyo nataka kujua bei za mashamba kwa huko zipoje kwa...
mimi nipo arusha, natafuta sehemu ambayo wanakodisha mashamba kwaajili ya kilimo, pia nahitaji kujua ni mazao gani hasa yanalimwa kwenye hayo mashamba. msaada tafadhali
Katika kuandaa vyakula vya mifugo protini hutumiwa kwa wingi. Chanzo kikuu cha protini ni bidhaa kama dagaa, soya nk. Ila sasa hivi dagaa wameadimika na kuwaweka wazalishaji wa vyakula vya mifugo...
Wadau, nimetafakari jambo hili. Watu wengi wanasema msimu wa kupanda tikiti maji ni kati ya March and september. Lakini msimu huu nikiangalia kupanda mahindi ni kama kucheza karata. mpaka sasa...
Bei ya vitunguu soko la ilala imepanda kutoka shilingi 60,000 miezi miwili iliyopita hadi 105,000 kwa gunia la kilo 100 kipindi hiki kutokana na kuadimika kwa vitunguu msimu huu
Kwa Wanajavi na wadau wakilimo.
Natafuta mshiriki katika kilimo ambaye tunaweza unganisha nguvu na kufanya kazi pamoja. Nashamba ukubwa wa ekari 60 lipo dodoma nacho hitaji ni mtu wakushirikiana...
Naomba wakazi wa kahama mnijuze yafuatayo,
1) Ni maeneo yapi kilimo cha mboga mboga kinafanyika au yanafaa wilayani Kahama
2) Ni vipi vyanzo vya upatikanaji wa maji katika maeneo hayo, je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.