Nilipoeleza changamoto ninayoipata kuhusu ndege ambaye wadau mmeniambia anaitwa kipanga wengine mlinishauri kuwapaka Rangi kuku, Nimelifanya hilo zoezi na huu ni mrejesho 'feedback'
1. Juzi...
Wajasiriamali wenzangu,Assalaam Aleykum
Ningeomba kujua Sikukuu ya Nane Nane kitaifa itafanyika wapi?
Narajia kwenda kwa malengo yafuatayo:-
A)Kuona na kujifunza mbinu za kilimo na ufugaji kutoka...
Habari wajasiriamali.
Kifungu fish farm iliyopo Kigoma inawatangazieni kuwa inawauza vifaranga wa sato (oreochromis tanganyikae) kwa tsh. 300 kwa kifaranga. Tutawauzia vifaranga wakubwa (urefu...
jamani wataalm wa wanyama naombeni msaada
kuna stray cat ameinukia kwangu mdogo sana na kila nikimfukuza anarudi. nimeamua kumhudumia chakula kama paka wangu kabisa. kila siku maziwa samaki ni...
Naomba msaada kwa mwenye mawasiliano chuo cha mifugo Tengeru,nampago Mdogo wangu nimpeleke huko maana anapenda na amepata c-chemistry,c-biology,c-math,na c-geog amechaguliwa EGM Mwenge sekondari
Habari wakuu na wadau wa kilimo?
leo katika pita zangu mtandaoni,nikampitia millardayo...nimekuta akihojiana na wakuvanga mchekeshaji kutoka kundi la orijino komedi...ambaye ameamua kuingia katika...
Moja ya changamoto kubwa ya kuku wa asili ni vifo vitokanavyo na
magonjwa mbalimbali. Nilichogundua ni kuwa watu wengi hawawapatii
kuku dawa ipasavyo, wataalamu wa mifugo wamekuwa wakishauri...
Wakulima wenzangu naomba yeyote mwenye ufaham wa kiliimo cha karanga anijulishe ABC zake hasa ktk hali ya hewa zinapostawi sana, kiasi cha mvua zinazoitajika, udongo na hata magonjwa yanayozikumba...
CHANGAMOTO ZA UTENGENEZAJI WA CHAKULA CHA KUKU.
Gharama za ufugaji wa kuku zikiwa asilimia 100. basi 80 huwa ni chakula na 20 ndo mambo mengine kama dawa.
Watu wengi tumekuwa tukijaribu...
Magonjwa ndicho chanzo kikubwa cha vifo vya Mifugo na umasikini wa Wafugaji. Maelfu ya mifugo hufa kila mwaka kutokana na magonjwa. Tanzania Educational Publishers inakuletea kitabu cha...
If you have got a chance of reading this book, obvious you are aware with this man.
In form two secondary school there is a book called MABALA THE FARMER.
The main characters in this book were...
Naomba anayejua jinsi ya kutengeneza tomato sorce na utaratibu wa kuanzisha kiwanda chake, gharama za uanzishaji. utengenezaji na uendeshaji, nyanya nitaanzisha shamba la greenhouse, aksanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.