Maonyesho ya nanenane 2017 yatafanyika wapi?

Maonyesho ya nanenane 2017 yatafanyika wapi?

Governor of Bettors-GB

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
10,850
Reaction score
10,059
Wajasiriamali wenzangu,Assalaam Aleykum
Ningeomba kujua Sikukuu ya Nane Nane kitaifa itafanyika wapi?

Narajia kwenda kwa malengo yafuatayo:-
A)Kuona na kujifunza mbinu za kilimo na ufugaji kutoka katika washiriki wa Maonyesho

B)Kupata contacts za washiriki na watoa mafunzo ktk part husika,ili baada ya hapo nipate mafunzo ya vitendo

C)Kupata motivations

Vitengo na wadau nitaopenda kuonana nao ni
1)Wafugaji na wadau wa Ng'ombe bora wa Maziwa,Sungura

2)Walimaji na wadau wa Kilimo cha Maembe,Machungwa,Mihogo na Mahindi

3)Watengenezaji au wauzaji wa zana za ku process na kupack mazao na mengine yahusuyo upande huo

4)Kukutana na wataalam kutoka SUA
Nilijaribu kuwasiliana nao ila wakaniambia kwamba mitaala inabadilika kwahiyo hawatoweza kutoa mafunzo mapya kwa sasa.Ila waliniambia niwe nawacheck for update
5)Bila kusahau VETA

6)SIDO
NK
 
Mkuu hebu check na watu wa wizara ya kilimo wanaweza kukusaidia pia wakati tukisubiri "any volunteer" kutoka humu.
 
Hata mimi nayasubiri kwa hamu sana, ni msimu wakulima kujifunza mengi juu ya kilimo na mifugo
 
Wajasiriamali wenzangu,Assalaam Aleykum
Ningeomba kujua Sikukuu ya Nane Nane kitaifa itafanyika wapi?

Narajia kwenda kwa malengo yafuatayo:-
A)Kuona na kujifunza mbinu za kilimo na ufugaji kutoka katika washiriki wa Maonyesho

B)Kupata contacts za washiriki na watoa mafunzo ktk part husika,ili baada ya hapo nipate mafunzo ya vitendo

C)Kupata motivations

Vitengo na wadau nitaopenda kuonana nao ni
1)Wafugaji na wadau wa Ng'ombe bora wa Maziwa,Sungura

2)Walimaji na wadau wa Kilimo cha Maembe,Machungwa,Mihogo na Mahindi

3)Watengenezaji au wauzaji wa zana za ku process na kupack mazao na mengine yahusuyo upande huo

4)Kukutana na wataalam kutoka SUA
Nilijaribu kuwasiliana nao ila wakaniambia kwamba mitaala inabadilika kwahiyo hawatoweza kutoa mafunzo mapya kwa sasa.Ila waliniambia niwe nawacheck for update
5)Bila kusahau VETA

6)SIDO
NK
Confirmed; Yatafanyika Ngongo-Lindi na Katibu mkuu wa Wizara ya KILIMO, UVUVI NA MIFUGO amethibitisha tayari.
Karibu sana kusini
 
MTAKAOSHUHUDIA MUWEKE UZI HAPA NDANI KUTUSHIRIKISHA NA SISI
 
Nauli ya dar - Lindi bei gani?
22,000/= Ila kama unahitaji kukaa Ngongo kwenye eneo la tukio maana yake itakulazimu eidha uwe unalala Mnazi Mmoja au LINDI MJINI na nauli kutoka Lind au Mnazi Mmoja kwenda Ngongo kwenye maonyesho ni jero tu
 
upload_2017-6-12_14-44-41.png
 
Back
Top Bottom