Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Katika habari zilizotawala uwanja wa Tehama kwa wiki hizi ni habari ya Snowden, mfanyakazi wa shirika la usalama la marekani (NSA) pia ni muajiriwa wa zamani wa CIA aliyelikisha taarifa za siri...
5 Reactions
146 Replies
14K Views
Habari wana JF, Mimi nilikuwa nahusika na (website) huko UG, sasa kwa hapa Bongo kuna swala la (zipcode) ni gumu sana na hata sijui nijanzeje maana ukiweka lazima waangalie sshemu uliko na...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Pc aina ya lenovo screen brightness haiongezeki niki press keybord ya kuongeza na wala hapunguziki ni press key ya kupunguza.
0 Reactions
4 Replies
850 Views
Facebook ni chiboko kwa kweli, sasa naweza kutazama Arsenal yangu live kupitia facebook. Yaani Arsenal ileee live bila chenga tena ukitumia voda ni bure kabisa bila bando yako kuliwa. Usiogope sio...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Nguvu ya betri yangu ya laptop imepungua ghafla na sasa haiwezi tena kutunza moto zaidi ya nusu saa,rafiki yangu mmoja amenieleza kuwa ukitumia laptop ikiwa imechomekwa kwenye umeme bila kuondoa...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Wakuu awali ya yote nawasalimu kwa jina la muumba mbingu na nchi. . Wakuu simu yangu aina ya Sony xperia ina tatizo la kukata network na kuandika hakuna sim card mara kwa mara Pia inatatizo la...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Naomba kuelekezwa namna ya setting ya cm yangu TECNO P6 ambayo huwa ina load previous sms nilizokwisha delete kwenye inbox, wakati setting yake ya ku load previous sms iko off.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu wana JF nina TECNO H5, yani kila ninapopiga simu mwanga (brightnes) inajiweka off na ninapopigiwa yani nikipokea tu mwanga hujizima pia. Sasa inakua ngumu mno kukata simu yani mpaka...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
NI NINI GRAPHENE graphene ni material ya 2d yaliyotengenezwa kwa kutumia carbon, yana uimara mara 300 zaidi ya chuma, yanabend kama plastic ni magumu kuliko almasi na pia...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Hellow guys, Napenda kutambulisha blogspot mpya kwenu inayohusu issues mbali mbali za teknolojia duniani,itakua inakupa kila taarifa mpya kila siku kuhusu ishu mpya kuhusu mambo mapya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari , Hivi inakuaje niki bonyeza button ya kushare kwenye simu yangu inaenda moja kwa moja kutaka kutumia BLUETOOTH pekeeee? Haini options zingine kama ilivyo kuwa mwanzo. Uki...
0 Reactions
1 Replies
752 Views
Habari wadau, Naomaba kujuzwa namna ya kutoa hiyo Custom binary blocked by FRP Lock kwenye simu ya Samsung S6 edge Plus na Samsung J5. kila nikijaribu kuhard reset au kuflash simu haifunguia...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naomba kujua free program ya kutengezea passport size picture zenye size ndogo e.g 4Kb.
0 Reactions
2 Replies
724 Views
Usi install anti-virus Usifute application ambayo huijui na hujainstall mwenyewe (umeikuta ktk simu) Hakikisha kabla ya kuitumia una update au kuweka Email na iwe valid! Usidownload application...
3 Reactions
19 Replies
8K Views
when I tap an app, it often opens the wrong one but in the same column. Is this an app problem or a technical problem? What should I do?
0 Reactions
2 Replies
770 Views
Naombeni mnisaidie
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Km screenshot zinavyoonesha Hii simu inazingua suala la camera/picha/photos kila siku INSUFFICIENT SPACE wakati kuna memory card kubwa na cha ajabu inasave kwenye simu tu yaani SD vitu haviingii...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
  • Poll Poll
I'm happy to introduce to you an online system on which you will be able to book a bus from wherever you are at any time with no hustle(at your comfort). We designed this system to simplify the...
0 Reactions
0 Replies
730 Views
Ni Samsung GT-S5303 ipo slow mpaka natamani kuitupa nn tatizo. Mf kufungua Fb. WhatsApp mpaka makata tamaa. msaada wenu plz
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Back
Top Bottom