wakuu nimuchoka kupoteza pesa kwa mafundi simu, mwenye kufahamu softwere ambaayo kwa sasa inatmika kudounload firmweres na kuflash simu za nokia kwa USB cable anisaidie jinalake.
Nitashukuru wakuu.
Wanabodi habari kwenu,
Naomba kusaidiwa nimetengeneza bootable flash kwenye Windows 8 nimefanya installation vizuri lakini nimejaribu Ku format flash nimeshindwa mwenye uelewa nawezaje format...
Wataalamu naomba msaada jinsi ya kupunguza MB ukisha rekodi video kwenye simu.
Yaani narekodi video ina dakika 1 tu, lakini ina 40mb.
Sasa nifanyaje ili iwe na mb ndogo? kama hizi video...
Mambo vip wakuu ni matumaini yangu nyote Muu wazima Kiafya na poleni na majukumu mliyo nayo.
Lengo la kuandika Uzi huu hapa jukwaani ni Kuomba ushauri na maoni yenu juu ya Blog hii niliyo nayo...
Habari wana jamvi.
Naomba kuuliza kwa waliowahi kutumia hizo simu za tecno N8 na Huawei Y3II.
Napenda kujua ipi ni simu bora kwa kila idara kuanzia ukaaji wa chaji, ukubwa wa memory, processor...
Nimefanikiwa kuipata package ya continetal kwa kutumia king'amuzi cha Zuku ila tatizo channel hizi sauti inakata kata ila picha ziko safi tatizo nini wadau?
habari wakuu!
naomba msaada wa kuweza kuunga laptop na copier canon ir3300 "n" ili niweze kuprint direct nimeshapata crossover cable ila nashindwa jinsi ya kufanya installation na driver zipio...
Ndugu mwana jf please husika na kichwa cha habari hapo juu . ombi langu nikutaka kujua tatizo ni nini? na inasezekana kutengenezeka? na inawezekana kwa bei gani ikiwa inawezekana? Ni ayo tu msaada...
Habari wakuu
Natumia window 7 proffesional service pack 1 build 7601,sasa kuna baadhi ya drivers zipo out of date na zinasababisha pc haifanyi kazi vizuri,
drivers zenyewe ni INTEL CHIPEST...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,naomba ushuhuda wa aliyepata premium adsense
Aliipataje? Katika mazingira gani? Bado anaitumia? Tofaut yake na adsense za kawaida ni ipi?
Natanguliza...
Habari Wana JF
Napenda kuchukua nafasi hii kuwatangazia wataalamu wa kutengeneza Website ya Kampuni. Ni kampuni itakayohusika na mauzo ambayo wateja wataweza kulipa kwa kutumia Mobile Money...
Habarini Wadau,
Natanguliza shukrani zangu kwenu nyote nina swali hapa kidogo ningependa kufahamu ni Jinsi gani naeza pata acount ya AdSense hata kama cjatimiza vigezo tafadhali kwa...
Habari zenu vijana na wazee
Kuna hii mambo ya kufanya kazi online na mwishowe wanalipa, kuna website moja nimejiunga hapa inalipa kwa kila ninapo click ads zao na wana lipa dollar moja hadi nusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.