Wakuu naombeni msaada katika hili.
TCRA wanaweza ifungia website yoyote ya nje au ya ndani isionekane na wananchi?
Yani namaanisha kwa mfano serikali inaweza ifungia mtaandao wa wikileaks au bbc...
Kila nikijaribu kupiga window 8 nifika katika kipengele cha press any key to from boot cd/dvd inaleta ujumbe huu! Na nikipiga window 7 inakubali na sasa hivi natumia window 7 je tatizo nini na...
natumia galaxy note 1 ambayo ni ya kikorea shv-e160 k
4.1.3 version
nilikua na shida kuipeleka lollipop ila njia nnayoijua mimi ni kupitia odin
leo nimedownload firmware 800mb ila kabla sjaanza...
Igweeee, wana JF simu yangu Tecno F6 inasumbua kwenye Play store kila napotaka kuupdate Apps ujumbe unaoukuja ni Unfortunaterly,Google Play has stopped. Tatizo lilianza niliporemove caches kwenye...
Mambo vip wadau w JF. Kuna hivi vitu viwili hii RFID na hii mamba 666, hii RFID inasemekana huwa ina ekwa ktk mwili wa binadam eti then anakuwa anaweza aka nunua bidhaa kupitia hii RFID, alaf pia...
Habarini za mchana ndugu wapendwa,
Ni application zipi za android zinafaa kwa text application kwa kutuma kama meseji za kawaida na launcher ipi kwa smartphone yafaa [emoji120] [emoji120]...
Nilinunua flat screen ya Sony Bravia inayosupport MHL.Tatizo sio simu zote zina hii feature ya MHL yaani kudisplay contents za simu kama picha na yotube videos kwenye screen ya TV.Naomba ambaye...
nlinunua pad za kucheza Game kwenye PC sasa nkafika home nkachomeka zinagoma ila zinawaka vizuri vitaa vyake,pad zenyewe ni UCOM..... je kuna tatizo gani?
kama nilivyotambulisha tatizo hapo juu. simu yangu aina ya huawei y520 batani zake ni ngumu sana kuditect yaani inabidi nitumie nguvu kuzipress
tatizo lawezakuwa nini na vp kuhusu solution, pia...
Hello wadau na maprogrammer wote mlioko humu naomba msadawenu katika hili,Kwa sasa nipo kwenye final Stage ya kuimalizia System itakayoitwa Academic Management System ,hii system nimebase zaidi...
Habarini wanajamvi.
Naomba kupata uzoefu juu ya android tv box.yan matumizi yake,changamoto zake,na uzuri wake.nahitaji kununua ila sina uzoefu nayo.
Shukrani
Nimedowload GTA V ili niweze cheza kwenye PC na nikainstall vizuri ila kila nikitaka kucheza inaniambia hii version sio kwa PC yangu nitafute version itakayoendana na PC yangu..nimeambatanisha na...
habari wakuu
Kuna tatizo nimepata kwenye tachno boom j8 yangu .. niliiroot simu yangu hii na ikawa rooted vizuri kabisa,sasa nikainstall app inaitwa romtoolbox ile niweze kufuta whatsapp...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.