ELIAS MICHAEL MORRIS
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 384
- 298
Ndugu zangu wana JF nina TECNO H5, yani kila ninapopiga simu mwanga (brightnes) inajiweka off na ninapopigiwa yani nikipokea tu mwanga hujizima pia. Sasa inakua ngumu mno kukata simu yani mpaka nitoe betri.
Naomba mwenye kujua jinsi ntakavyoweza kuirekebisha anielekeze.
Asanteni.
Naomba mwenye kujua jinsi ntakavyoweza kuirekebisha anielekeze.
Asanteni.