Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Simu ya galaxy s5 genuine ilifungiwa kipindi TCRA wanafungia simu feki hii ilitokana na kuwepo kwa clone iliyoiga IMEI yangu hivyo kusababisha kufungiwa..... Nilijaribu kuunlock nikaitumia kwa...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
jamani naombeni msaada kwa anaejua duka au mahali ambapo na weza pata vifaa vya computer niko dar nataka kwenda k.koo kutafuta video card
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naombeni kama kuna mtu anaejua namna gani naweza kuinstall gb whatsapp maana nimejibu nmeshindwa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mpaka kujaa inachukua masaa 12! huu mda si wa kawaida wakuu cjui tatzo nini? Mara nyingi nachaji usiku wakati nimelal [emoji26][emoji51][emoji56]
0 Reactions
6 Replies
812 Views
Wakuu Lg g2 yangu imesumbua touch screen digitizer....bei yake ni ipi na kufanya replacement pia Note:bei iwe affordable maana nshashindwana na mafundi wapigaji, Asanteni
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Msaada, opera mini aifungui
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naombeni msaada wenu namna ya kufungua email kwenye simu yangu, najua hapa kunawataalamu ndio maana nimeona nisikae na tatizo langu moyoni, ni hayo tu jamani.
1 Reactions
5 Replies
22K Views
wakuu naombeni msaada downloading dpeed ya pc yangu ipo chini sana hata kama kuna mtandao mzuri naombeni mnisaidie kama kuna download accelerator nzuri
0 Reactions
1 Replies
777 Views
Habarini Wakuu, mimi nina wazo la Kufungua website yangu Hivi karibuni lakini nimeshindwa kuelewa Gharama Halisi ya Kufungua Na kuendesha Website, Pia N vitu Gani vya Kuzingatia Pia Ninapoenda...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Kumekuwa na watu wengi ambao wamekuwa wakilalamika simu zao kuwa slow wakiwa wanatumia na hivyo kushindwa kufurahia simu zao.. leo nitajitahidi kuelezea njia za kuweza kuzitumia kuwezesha simu...
8 Reactions
21 Replies
7K Views
Naomba kufahamu mobile data limit ktk simu ukiweka tiki au kuiondoa tiki kunasaidia nini!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu. Mimi ni mfanyabiashara wa kati, nahitaji software ya computer ambayo itaniwezesha kuhifadhi bei za bidhaa zangu (bei niliyonunulia, bei ya kuuza, bei ya mwisho n.k) msaada kwa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naomba msaada. Simu yangu tecno j8 inagoma kusaport whatssap na Facebook....kila nikijaribu kuingi whatssap inaniambia your not connected to internet ,try to connect if problem continue plz reboot...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nielekezeni nitumie Software gani kutengeneza Database ya duka la madawa mimi ni msimazi nataka nitoke kwenye Manual tuanze kwa computer Ku-store information I need a latest software or anything...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Msaada jamani wandugu. Tv imezngua naombeni msaada jinsi ya kuunga zuku kwenye laptop. Najua umu kitu kushindikana ni nadra sana
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hello wakuu..... Msaada jaman kwa anaejua link itakayo kupelekea kudownload software ambayo iko cracked. Regards, Bro kay
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mara Baada Ya Kuifanyia Hard Reset Imeshindikana Kumalizia Kufanya Initial Setup Kutokana Na Kushindwa Ku-bypass Wifi Connection. Option Ya Ku-Skip Hatua Hii Imeshindwa Kufanya Kazi. Msaada...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF, Hivi inawezekana ukampigia mtu simu kwa njia ya internet ikiwa yeye hatumii simu yenye uwezo wa internet ila ya kwako inayo? Simu yangu haina dakika ila ina MB nyingi tu!
0 Reactions
21 Replies
6K Views
wadau humu samahani.nisaidieni jambo hili, linakwamisha matumizi yangu ya internet. ni kwamba nataka kutumia internet kupitia wifi hotsport, ila inaulizia security na nikiiweka inaniambia ni...
0 Reactions
2 Replies
879 Views
natumia W3 tecno
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom