Wana JF naomba kusaidiwa
Nina king,amzi cha Mediacom model mft 910
Nataka kutumia kwenye dish LA azam
Hivi naweza kupata signal hatimae kuonesha TV?
Mwenye uelewa kwa hili anijuze
Maana...
Samahani jamani, simu yangu huawei y360 ilianguka sasa kila nikijalibu kuwasha inanicommand kureboot ila nikiiboot hairudi wala haiwaki na nikiwasha inawaka na kuzima tena inawaka na kuzima...
Jibu ni moja tu kwa maswali ya Petro. Nalo ni hili " Mhimili wangu una mizizi mirefu kuliko mihimili mingine kwa sababu mimi na mhimili wangu ndio natoa fedha na maelekezo mengine kwa mihimili...
Kwa wale wajanja wenzango wote leo kwenye pitapita mitandaon nmekutana na hii app ya android kiukwel ni nzur xn na very handy kwenye movie na series za kizungu nkaona sio mbaya nkishare nanyi hii...
The U.S. Labor Department is trying to bar Google from doing business with the federal government unless the internet company turns over confidential information about thousands of its employees...
Poleni na majukumu wakuu. Naulizia hiyo kitu hapo juu. Kwa anayejua na bei zake tafadhali. Nipo Dar.
Cc CHIEF MKWAWA. Nashukuru kwa msaada wako juu ya ile software japo haikukidhi nilichitaka
Nimekaa nikajiuliza maswali kadhaa nikaona nakosa majibu nikaamua kuja kushare nanyi hapa!
Hivi code za nchi fulani katika masiliano zinasaidia nini mfano Tanzania ni +255 nini faida ya kuwa na...
Unajua tunapozungumzia hacking (udukuzi) ziko katika namna mbili tofaut.
Aina ya kwanza ni udukuzi usio na madhara au ethical hacking hii hufanyika kwa malengo mazuri mfn kujifunza, kuboresha...
Vifaa vya kurekodia mikanda ya video(VCR) vimekuwepo tangu miaka ya 1960, hata hivyo kuanzia miaka ya 1970's katikati ndipo makampuni mbalimbali ya Kijapan na Marekani yalifanya mabaresho makubwa...
Simu samsung j7 kioo/display umevujisha wino (nahisi niliikalia au kuilalia bila kujua) asubuhi ilikuwa inaonyeshe lakini upande wa juu kioo kilikuwa giza na kadiri muda unavyosonga ndo wino...
Habari wakuu?. natamani sana kujifunza computer lakini kutokana na kukosa mda naomba muongozo wa vitu vya kujifunza as a beginer. Pia naomba msaada wa anayejua website ambayo naweza nikapa best...
Habari wanajamvi
Naomba kujua watengenezaji wa id card za plastic/pvc ambao wana uwezo wa kupokea hata order ya kadi 10., pia ningependa kujua bei kwa kila kadi,
Thnx in advane.
Nini kinasababisha connection za Internet access zinafeli na kuandika LIMITED Internet access napounganisha wireless ya simu kwenye PC. Pia naomba namna ya ku solve tatizo. Pc yangu ni HP na Simu...
Kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya mtandao (internet). mimi mtanzania na mzalendo baada ya kumaliza masomo yangu katika HTML, PHP and MYSQL ,JAVASCRIPT ,AJAX nimeamua kutumia muda wangu wa...
wakuu kama kilivyo kichwa hapo juu,pc yangu inagoma kabisa kuswitch on wi fi,wala kufanya connection kwa wireless msaada tatizo nin? au nifanye nin?
nawasilisha.kam pich znavoonesha hapa chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.