Hivi kuna mac book fake?

Hivi kuna mac book fake?

mambucha

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
279
Reaction score
160
Kuna jamaa ananiuzia mac book, naomba msaada nini cha kuzingatia nisije nikashikishwa kitu fake. Thanks
 
unachouziwa ni hardware hata kama ni original unaweza uziwa macbook ya core 2 duo au i7 za zamani na usijue kama umetapeliwa.

kama ni dukani chukua warranty na risiti halafu utaikagua baadae. kama ni mkononi muulize specs zake halafu google online au nenda na mtu anaejua computer au post specs zake humu jukwaani utasaidiwa.

kuhusu ufeki si rahisi kupata laptop fake sababu ili uwe oem ni lazima apple/microsoft/intel/amd wakutambue sio kama android
 
unachouziwa ni hardware hata kama ni original unaweza uziwa macbook ya core 2 duo au i7 za zamani na usijue kama umetapeliwa.

kama ni dukani chukua warranty na risiti halafu utaikagua baadae. kama ni mkononi muulize specs zake halafu google online au nenda na mtu anaejua computer au post specs zake humu jukwaani utasaidiwa.

kuhusu ufeki si rahisi kupata laptop fake sababu ili uwe oem ni lazima apple/microsoft/intel/amd wakutambue sio kama android
Ahsante. Kuna mtu anauza Mac Book Air Tzs 550,000 n anasema ina GB 16 RAM .sasa nakuwa na wasi wasi kwa sababu bei iko chini sana
 
Ahsante. Kuna mtu anauza Mac Book Air Tzs 550,000 n anasema ina GB 16 RAM .sasa nakuwa na wasi wasi kwa sababu bei iko chini sana
umempata online? namba yake ya whatsapp ni ya kenya? yupo mkoa ambao sio dar hasa hasa mikoa ya kusini?

kuna tapeli mmoja ndio kazi yake hio kuwa makini. ni almost imposible kupata macbook nzuri kwa bei hio.
 
umempata online? namba yake ya whatsapp ni ya kenya? yupo mkoa ambao sio dar hasa hasa mikoa ya kusini?

kuna tapeli mmoja ndio kazi yake hio kuwa makini. ni almost imposible kupata macbook nzuri kwa bei hio.
Mhh Ram 16 gb [emoji6] aangalie sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom