Tanzania Code +255

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Sep 6, 2014
6,170
7,661
Nimekaa nikajiuliza maswali kadhaa nikaona nakosa majibu nikaamua kuja kushare nanyi hapa!

Hivi code za nchi fulani katika masiliano zinasaidia nini mfano Tanzania ni +255 nini faida ya kuwa na hii code?

Je nani anahusika na kugawa hizi code yaani nani anaamua Tanzania watumie + 255 na nchi nyingine watumie zingine?

Je hizi code nchi inaweza kuuamua kuzibadirisha? Kama inawezekana gharama za kubadiri ni zipi na Faida yake ni ipi na kama haiwezi kwanini hatuwezi akati mitandao kama tigo,voda na mingine wanaamua tuu kubadirisha namba za mwanzo utasikia hii ni tigo ya zamani na hii ni mpya!

Kifupi nahoji kuhusu code +255 ni lazima tuwe nayo? Na inasaidia nn
 
Nimekaa nikajiuliza maswali kadhaa nikaona nakosa majibu nikaamua kuja kushare nanyi hapa!

Hivi code za nchi fulani katika masiliano zinasaidia nini mfano Tanzania ni +255 nini faida ya kuwa na hii code?

Je nani anahusika na kugawa hizi code yaani nani anaamua Tanzania watumie + 255 na nchi nyingine watumie zingine?

Je hizi code nchi inaweza kuuamua kuzibadirisha? Kama inawezekana gharama za kubadiri ni zipi na Faida yake ni ipi na kama haiwezi kwanini hatuwezi akati mitandao kama tigo,voda na mingine wanaamua tuu kubadirisha namba za mwanzo utasikia hii ni tigo ya zamani na hii ni mpya!

Kifupi nahoji kuhusu code +255 ni lazima tuwe nayo? Na inasaidia nn

Code ni muhimu, mfano code ya Dsm ni 022 Dodoma ni 026 zone ya Mwanza ni 028 na code ya voda ni 0754 Airtel 0784 lakini ukiwa nje ya nchi lazima uanze na +255 Kenya +254 Uganda +256 Nigeria +234 USA na Canada 1 bila hivyo huwezi kupiga upate mawasiliano. Nimekupa mifano tu.
 
Ni mambo ya 0101010101 hayo mkuu! Sawa na Morogoro road, kama unakwenda Bara na mwingine anakwenda north; mkifika Chalinze mnagawanyika! Mmoja anaenda 255 ambayo ni Tanzania na mwingine anaenda Kenya, ambayo ni 254
 
Kuna taarifa za ziada ambazo zinabebwa na code ambazo zinakuhakikishia wewe upatikane au uwasiliane kirahisi taarifa kama jina la nchi yako iko katika bara lipi naupande upi katika latitude na longtude kama ambavyo namba za nyumba au sanduku la posta
 
Mkuu mbona wewe una jina na ubin na sehemu nyingine unapotaka kutambulika haraka unaweka tarehe yako ya kuzaliwa na anwani hivyo vyote ni utambulisho wako.
 
Kwanza code inaleta tofauti na ubainifu dhidi ya mataifa mengine.
Pili code inasaidia kutambua location.
 
Back
Top Bottom