Msaada tafadhali

Msaada tafadhali

ghona18

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2013
Posts
572
Reaction score
331
Simu samsung j7 kioo/display umevujisha wino (nahisi niliikalia au kuilalia bila kujua) asubuhi ilikuwa inaonyeshe lakini upande wa juu kioo kilikuwa giza na kadiri muda unavyosonga ndo wino ulikuwa unaenea eneo lote.
Msaada nifanye kipi kubadili kioo au kuna namna nyingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom