Habari wanJF, nimetengeneza video ya bootstrap kama intro.
Usipitwe na video hii ingia kwenye channel yangu jifunze web (Youtube)
Karibuni tujifunze web.
Habari zenu wadau ,Jaman Nina iPhone 6s+ INA icloud yan inanipasua kichwa sana kila kukicha ,Msaada was kimawazo pia ushauri mwenye ujuzi was kuitoa hii kitu ,Tafadhali nisaidieni
Wakuu habari zenu. Naomba kujuzwa MTK Loggers ni nini?
.
Application hii imekuwa ikinisimbua sana pale napokuwa naingia Facebook. Tatizo linakuwa hivi : Nikiingia Facebook simu inajizima kisha...
Masters scholarships for Tanzanians in Tech and other disciplines
Going back for masters studies may sometimes requires extra courage especially if you are coming from a good earning job or you...
Msaada jamani iphone yangu imeniandikia storage full halafu inasema naweza ku-upgrade storage kwa njia ya BUY.
Inasema hivyo hasa hiyo security code ndo inanichanganya kabsa.
Habari wakuu na hongera kuvuka mwaka.
Naombeni mnisaidie, ishu yenyewe ni kwamba e-mail yangu sijaingia muda mrefu na nilibadili namba ya simu niliyofungulia kwa hiyo niki-log in inasema...
Heshima kwa wanaJF wote naombeni kufahamishwa ni njia gani inayotumika kupata internet kwa kutumia haya madish ya kawaida ya tv channels na ni satellite gani inayotumika. Msaada kwa wanaJF...
Msaada kulingana na kichwa cha habari hapo Juu. Nimejaribu takribani cd tofauti tofauti za win10 na win7 lakin imeshindikana. Nikajaribu kutumia bootable usb ikashindikana pia. Speed ya kuinstall...
Za Humu Ndani wadau, nilikua Niki stream na mamaHD.com kwa PC nikitumia Voda net, na nilikua na stream vizuri...kwa sasa inakatika Katika Sana...mtandao gani mzuri ku stream online? Or best web...
Wakuu naombeni mnifahamishe game nzuri ya mchezo wa draft kwenye android.. Kila nikingia play store nakutaka na ambazo hazieleweki au nyingine ni nyepesi sana.. Yani opponents hapana changamoto...
Habari wanaJF, napenda kuwafamisha kwamba napenda kuwafundisha watu vitu vifuatavyo kupitia youtube video.
1. Namna ya kununua vitu online kupitia kadi(VISA,MASTERCARD) kwa mgongo wa PAYPAL...
Wadau, Simu yangu Huawei Ascend Y300 leo asubuhi wakati naitumia ghafla application zake zikagoma kufanya kazi, nikadhani labda itakuwa ime-stack ikabidi ni - restart, wakati inawaka ilipofikia...
Wadau habari ya asubuhi.
Katika huduma za kifedha zitolewazo na airtel kupitia airtel money kuna huduma ya utoaji pesa kutoka akaunti ya airtel money kwenda ATM MASHINES za benki mbali mbali ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.