Msaada: Tatizo la LIMITED Internet access kwenye PC.

Msaada: Tatizo la LIMITED Internet access kwenye PC.

TangataUnyakeWasu

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2016
Posts
1,268
Reaction score
1,611
Nini kinasababisha connection za Internet access zinafeli na kuandika LIMITED Internet access napounganisha wireless ya simu kwenye PC. Pia naomba namna ya ku solve tatizo. Pc yangu ni HP na Simu ni TECNO H6
 
Mkuu kwenye wireless yako kutakuwa na passward ambazo inatakiwa uzijaze kwenye PC yako!
 
Back
Top Bottom