Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kwa mwenye uelewa juu ya matumizi ya hii new feature ya windows 10 phone inayo julikana kama CONTINUUM ni kwa ajil ya kutumia simu kama PC kwa kuunganisha kwenye monitor kisha kutumia kama PC...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza kwa aliye na uelewa juu ya hili jambo namuomba anisaidie maana kila nikiingia mtandaoni kuperuzi mambo nahisi simu kuchemka kiasi kwamba mpka mikono kuhisi...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Habari za kutwa wakuu. Naomba msaada wa kuelemishwa athari za mitandao ya kijamii katika kupunguza uwezo wa kutunza kumbukumbu wa simu. Mitandao ya kijamii ninayohitaji kujua zaidi ni Whatsapp na...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Habar zenu wote Naombeni msaada wakujua n kwanini simu yangu aina ya vf 685 kila ninapoiwasha au kitoa lock ili niweze kuitumia inaniandikia kwamba location services disabled!please turn on...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi wandugu mara nyingi natumia laptop kuangalia mpira kutoka kwenye baadhi ya website kama vile thefeed2all. eu rojadirector nanyingine nyingi lakini nilipenda kama ningeweza kuangalizia mipira...
0 Reactions
0 Replies
771 Views
Koenigsegg's horizontal roller coasterBy Dan Neil | The Wall Street Journal – 12 hours ago Email Print MORE AT THE WALL STREET JOURNAL » Fit EV: Pricey But Ready for Prime Time »...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
habarini wataaalam nimepata na tatizo la kufomati Local Disk E wakati naweka WINDOWS mpya Windows 10 ambayo ilikuwa inatumika kuhifadhi Data zangu kwa bahati mbaya. Je kuna Namna ambayo naweza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tafadhali wadau mwenye kufaham mamma ya kutumia/ kuunga whatsap account 2 katika simu 1.natumia tecno c5
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Kuna jamaa alikosea namba akatuma ela/Mpesa kias cha sh 1,700,000 kwenye line yangu then miye fasta nikazitoa. Sasa jamaa wameblok my line kias kwamba siwezi kutumia huduma ya Mpesa yani kila...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Heri ya mwaka mpya wadau wa JF. Naomba msaada wa jinsi ya kutumia ADOBE PHOTOSHOP kutengeneza picha poa.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu wa hili jukwaa poleni na majukumu,jamani kwakua mimi sio expert sana kwenye haya mambo nimeona bora niulize kabla sijachukua maamuzi yoyote ya kununua hii kitu. Kuna mdau anataka aniuzie CPU...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Najua humu ndani kuna watu ni wataalamu wa magari ama kwa kusomea.. au kwa kutumia tu gari anakuwa na ujuzi nayo. TUJE KWENYE SWALA LA MSINGI Kuna mfanyakaz mwenzangu kakopa hela huu mwezi sasa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama heading hapo juu jana nimeletewa simu ya Samsung Galaxy J1 lakini tatizo linalonikumba kila nikiweka line zangu za voda na airtel inaniletea ujumbe wa INVALID IMEI Artel Tz and INVALID IMEI...
0 Reactions
27 Replies
10K Views
AT&T gets ready to test 5G technologies this 2016 AT&T has been working on possible 5G technologies, such as millimeter waves, for years. Now that it's time to get serious, it's teaming up with...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Wakuu, Naomba msaada kwani "smart phone" yangu aina ya ZTE V6700 tokea juzi tarehe 9/2 nikiiwasha (switch on) inacheza 'android' tu. Mwenye utaalam anisaidie tafadhari.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau naombeni msaada software gani ya account inapatikana torrents nisaidieni kwa anayezijua.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habarini wana JF. Nina Laptop aina ya Hp Pavilion g4-2169se, yenye windows 7 64bit ilikuwa inatoa sauti vizuri ila juzi ilikata ghafla wakati ikiwa ina play movie. Imepoteza sauti kwa njia zote...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji zenfone 5, kwa anaejua wapi zinapatikana naomba anijulishe tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
613 Views
wakuu nitaweza pata wapi asus zenfone 2 na ina ghalimu kiasi gani kwa dar
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Fungua hii link, ASUSTeK Computer Inc. -Support- Driver & Tools - ASUS ZenFone 5 Ikishafunguka, bonyeza kwenye link ya firmware, soma vizuri maelezo kisha chagua firmware inayoendana na simu yako.
1 Reactions
4 Replies
964 Views
Back
Top Bottom