Kaputula La Marx
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 562
- 494
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza kwa aliye na uelewa juu ya hili jambo namuomba anisaidie maana kila nikiingia mtandaoni kuperuzi mambo nahisi simu kuchemka kiasi kwamba mpka mikono kuhisi kuungua.
Natanguliza shukurani zangu.
Natanguliza shukurani zangu.