Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Jamani nimekuja kwenye jukwaa kuomba msaada, nimetafuta maduka meng nimekosa. Natafuta wireless keyboard kwa ajili ya ya ipad air. Natafuta aina ya Belkin, ambayo ni km cover pia na keyboard...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu nataka kujuj estimates za kufanya service hiyo, nipo Dar, kwa wenye uzoefu please nisaidieni estimate za gharama.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Msaada ndugu zangu PC yangu aina ya dell imeangua na haitaki kuwaka nifanyeje
0 Reactions
0 Replies
468 Views
Wakuu nataka kununua hii simu jamaa katoka nayo South Africa hivi karibuni nimetoa betry imeandikwa made by Sumsung badala ya kutaja viwanda ya SAMSUNG vya Korea, Vietnam na China. sasa najiuliza...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu poleni na majukumu ya kuliendeleza hili taifa...naombeni msaada jinsi ya ku unlock usb ports za desktop zilizofungwa. Asanteni
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, Zipo taarifa kuhusu App ya Facebook kwenye hizi smartphone zetu kufyonza chaji kupita kiasi wakati wa matumizi.. Tafiti za wanateknolojia zinaonyesha kwamba App hii ikifutwa huongeza uhai...
2 Reactions
77 Replies
18K Views
Naomba kujuzwa ulaji wa mafuta wa hii gari,
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Rumor: iPhone 7 Plus to come in 256GB storage option and feature a larger 3,100mAh battery Posted by Rajesh Pandey on Jan 03, 2016 | 9 Comments If the latest iPhone 7 Plus rumors are to be...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwenye attachment hapo ni c++ language nimeiandika na nimeirun ikanipa ilo umbo ninachojiuliza nataka kuiandika inipe umbo la pembetatu sawa nifanyeje ? [
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wadau, Kwa yoyote mwenye ujuzi wa simu hasa zile zilizotumika China, nyingi zinakuwa na tatizo la kutoweza kupiga ussd codes kama za mihamala ya simu, au ya benki mfano *150*60#. Kucheki...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
· At least 2 - 3 years of experience as a system engineer. · Experience or knowledge of Unix/Linux-systems. · Strong knowledge of TCP/IP networking, application level protocols and...
0 Reactions
0 Replies
610 Views
Hi Jamani kwa yoyote mtaalam atoe ujuzi wake hapa namna ya kutengeneza application na maswala mengine yanayohusu aplication.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hello guys nahitaji battery used ya toshiba satellite L500 kama unayo nicheki PM please, ukitaja bei na mahali uliko mi nipo mbezi dar es salaam. with regards.
0 Reactions
0 Replies
780 Views
wanajf kuna upepo wa application inayovuma kwa kas kua ina uwezo wa kuksmata mawasiliano ya mpenz wako je kuna ukweli kwa wake mlioitumia maana ukiwa katika hatua za kuipakua unaombwa pesa je kuna...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Ni swali ninalojiuliza maranyingi kama linavyojieleza apo juu. Ni kivip mods wanapata pesa na mmiliki kiujumla. Pia nakosa ufafanuzi jinsi waanzilishi wa Mobile application wanapataje faida...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Ni rahisi kujifunza kutengeneza applications za android. Ikiwa utaweka nia na ku-dedicate muda wako kujifunza na kufikiri ni applications gani waweza tengeneza na kufanikisha. Waweza jikuta...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
habari ndugu zangu wa jukwaa hili naomba msaada natamani kusoma maswala ya IT nipo arusha msaada wa chuo kizuri hapa Arusha na ada yao.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Jamii 1. Ni kweli au ndo habari za mitandao na utapeli Nina maana afazali ya utapeli sasa huu upateli. Je ni kweli waweza pata pesa kupitia blogs, websites nakadhalika.Kupata pesa au mkwanjika...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Natumia Application ya JF kwenye Samsung Galaxy J7. Lakini Nikiingia Kwenye Timeline.. subscribed.. na Participated Thread za Hizo Sections Haziload na Zinachukua Muda Sana. Ila Nikiingia Kwenye...
0 Reactions
2 Replies
809 Views
Habarini Kuna simu nililikuwa natumia katika bonyeza bonyeza sikujua wapi nimefika lakini niliona tuu kuwa picha zangu zitakuwa zinahifadhiwa kwenye email yangu ambayo inatumika katika simu yangu...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Back
Top Bottom