Kwa wenye uelewa na hii ishu mana juzi nilienda nalo mahali (safari fupi hapa na pale) niliporudi nikalipaki (saa sita ya mchana) lakini jioni (kumi na mbili jioni) nikakuta na mabadiliko haya...
Habari zenu wakuu, simu yangu tecno H3 inatatizo la kunasanasa keypads zake kiasi ambacho nashindwa kuandika sms na vilevile nikibonyeza backspace inaanika herufi m. sasa sijuwi tatizo lake ni nini.
Wakuu habari za Leo
Kama ilivyo kawaida ya jukwaa hili ni kusaidiana kutatua na kuelekezana katika katika mambo yote yanayo husu TEHAMA
Kama kichwa kisemavyo sijui nini kimetokea ila mpaka sasa...
Beware the Android virus that can WIPE your phone: Experts warn users that malware is being spread by text message
Mazar is spread by a harmless-looking link sent via a text message
Security...
Apple yaamrishwa kuifungua simu ya muuaji
Jaji mmoja katika jimbo la Carlifonia nchini Marekani ameiamrisha kampuni kubwa ya Teknolojia ya Apple kusaidia polisi katika kuchunguza simu ya...
Habari wakuu. Hivi kifurushi cha chuo cha vodacom kimefutwa au wamebafili namba za kujiungia mana nimetaka jiunga Leo kupitia *149*02# na kukuta maelezo mapya kabisa.[emoji35]
Jamani nawaomba msaada natumia simu aina ya ZTE U880E ni adroid version namba 2.3.7 na kuna mahali kwenye seting nikiangalia wameandika mobile netwok type EDGE sasa kiukweli hii simu ipo slow sana...
Linapofikia swala la wizi katika mtandao kila mmoja wetu uongea kadiri anavyoelewa tena baadhi yetu hudiriki hata kutaja baadhi ya njia zinazotumia katika wizi wa mitandao.
Hivi majuzi nilikua...
The S-400 Triumf, a top-tier anti-aircraft weapon system produced in Russia is an impressive piece of equipment and is an evolution of the S-300 anti-ballistic missile defense system. The S-400 is...
Wataalam wa magari,naomba kujua kati ya gari hizo ipi nzuri kwenye utumiaji wa mafuta,comfortability barabarani nk. Nazipenda zote ila nafikiria kununua moja wapo. Ushauri wenu utasababisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.