Wakuu naamini mko vizuri!
Nijambo lakushangaza sana lakini hp wako juu sana ...
Hp elitebook 8440
specs
Intel Quad-Core Processor (models with discrete
graphics only) :
Intel Core...
Sema kuna kitu kingine bado nina tatizo kidogo kwenye hizi simu zetu pendwa, hivi hizi simu mfano hii ya kwangu tecno c8 hivi hazinaga sens light ? Vile vitaa fulani ambavyo vinawaka utakuta muda...
Habari za saa hiz wana JF
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikijaribu kuweka earphone kwa smartphone nacikia sauti ya muungurumo flani na sauti ya mziki/radio haisikiki kabisa!!! Nimejaribu...
Habari wanaTEGAS rejea hapo juu
Laptop yangu aina ya IBM nikiiwasha inaishia kuniandikia maneno haya TFGHT is compressed
Press Ctrl+Alt+Del to restart nimefuata process hiyo mara nyingi sana...
Habarini ndugu?
Ninashida na Computer (Desktop machine)
aina ya Dell, iwe SFF na sifa zifuatazo:-
C2D/C2Q processor
Speed 3.00 Ghz +++
2GB RAM +++
160GB HDD +++
DVD ROM
Ijumuishe...
Habari za majukumu wakuu nina samsung gt laini moja haishiki 3G wala H+ yan inakamata H ni mitandao yote kidogo mtandao wa Halotel inakamta H but inakuwa na kasi kiasi, na niliiflash kama mara 2...
Ni desktop dell, intel core 2, 2gb ram 360hdd. Lakini nikitaka tuu kubrowse via mozila firefox au internet explore computer inakuwa slow sana kwa kuload na inastuck. Natumia modem ya halotel...
Nimekuwa nikitumia vizuri saaana tatizo limejitokeza tuu..,Baada ya ya ku-update operating system mpaka sasa hivi haitachi. Msaada kwa anayejua wakuu..!!
Nashukuru kwa uwepo wenu wakuu, ni hivi...
Kwa ufupi. Ninayo domain tayari iko pined na blogspot. nataka kuitengezea website kabisa.
ni website ya habari na matukio ya kila siku.Lugha ni kiingereza na kiswahili.
Nimetazama website...
Je wewe unapenda pc games au mtu wa graphics au mtu wa editing basi njoo nikuuzie mashine ya kibabe Dell precision T7400 Xeon 2.33ghz(8cpu),ram 2 gb up to 64 gb,hdd 4T,graphics card nvidia Quadro...
Ningependa wale mliopata hii version mpya ya marshmallow baada ya ku-upgrade mnipe mrejesho juu ya mambo makuu yafwatayo baada ya ku-uexpirience;
1. Battery life
Je simu yako ktk trend ya...
Habari wakuu,
Wadau naomba msaada decoder yangu inaonyesha tv guide na tbc1 tu nyingine zote not subscribed hali hii imeanza baada ya kuisha kombe la dunia. Tatizo ni nini?
Natanguliza shukraan
Wadau kichwa cha habari hapo juu chajieleza natumia Samsung grand prime duos anaejua tafadhali anisaidie nimefungua account cha ajabu play store haifungui
Habari yenu ninatumaini mu wazima kabisa ningependwa kujuzwa simu aina ya android ambazo ni version mpya ya android yani mashmallow ambazo ziko around 180,000 mpaka 250,000 isipokuwa tekno...
Habar wakuu naomba msaada wenu jinsi ya kuitengeneza simu yangu ya lg g3 ambayo imeharibika kabisaa coz haiwaki hata nikijaribu button combination ili niende kwenye download mode na recovery mode...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.