Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nimekua nikifuatilia hili swala Kwa mda mrefu juu ya hili sa kata la simu iliopatikana katika eneo la tukio huko San Bernadine marekani na jinsi FBI wanavo haha kufungua simu ambayo ilikutwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Unamiliki simu aina hii? Au uliwahi kuimiliki au mtu unayemfahamu anaimiliki? Katika kuivinjari maeneo mbalimbali ulishawahi pita setting category ya easy of access, ukaturn on narrator? Nini...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Mbona kila nikiingiza Activation code katika SMARTTZ APP naambiwa nimekosea?....nini tatizo?....naombeni ushauri mnaoelewa mfumo huu.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari yenu wakuu nimejikongoja na kupata Lumia 535 used kwa muonekano wangu iko poa. Sasa kuna baadhi ya mambo yananishinda mfano kudownload wasap kila nikijaribu inafeli na inakomandi nitumie...
0 Reactions
7 Replies
853 Views
Kawaida app zinakuwa exit au quit button ya kuifunga app baada ya kutumia. Sababu ipi msingi inapelekea chrome browser kutokuwa na quit button?
0 Reactions
2 Replies
775 Views
Kuna alama flani hivi zipo sehemu mbalimbali, ila mfano mzuri ni katika vitambulisho vya kura. Ni ile alama nyeusi ina viboksi na mikunjo mingimingi, nasikia kuna simu zi a uwezo wa kusoma alama...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu wa jukwaa poleni na majukumu..Nataka ninunue tablet kwa ajili ya matumizi yangu binafsi,nimegoogle current best tablet in market nikakutana na hii hapa Galaxy tab s 10.5 naomba maoni yenu...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
STEP UP PLAYER FROM CLOUDS TV wakishirikiana na HOUSE OF GAMERS COMPANY LIMITED wanaletea kwenu STEP UP PLAYER FIFA 16 PLAYSTATION MASTER - washiriki 1000 - makundi 10 - mashindano yatafanyika...
0 Reactions
31 Replies
7K Views
Wakuu natafuta HP iwe HDD 500,processor speed 2.4ghz,i5 au 7 4th generation, ram 4gb,15 inchez na graphic ziwe nzur tu za kucheza far cry,FIFA hata call of duty.
0 Reactions
3 Replies
833 Views
Kwenye simu yangu ninapotumia kuna viaplication vinajitokeza, naomba msaada wa kuziondoa kabisa.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
jaman heshima kwenu tafadhar naomba mnisaidia kuweza kufungua blog yangu na website tafadhar mwenye ujuzi
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jaman kwa wale wataalam Wa cad na software za ujenzi ..... Hasa katika structural design na detailing nataka jua ipi ni software nzuri kwa hli.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ninaomba msaada printer tajwa hapo juu,inakua inatoa meseji hii"59.40 ERROR" kuna wakat inaprint ila kuna wakati inatoa hiyo sms,tatizo ni lipi wakuu,msaada tafadhali ili niondoe hilo tatizo.Asanteni
0 Reactions
0 Replies
629 Views
Nina laptop aina ya samsung notebook nlikuwa cjaiwasha kwa muda wa mwaka mzima . Sasa jana nliwashaa ikawaka vzuri tu lakin keyboard imegoma ku type naombeni msaadaa wenu wadau nifanyeje...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hbr!naomba msaada juu ya kunlock huawei e173-1` nimejaribu kila njia ila zina unlock ila inakaataa tena another simcard na ikifuata hizo tool inakuambia tena locked.\
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Sabakher Wadau; Ningependa Kujifunza Programming! Ila Sina Hata Moja Kichwani! Nina Pc Yangu Najua Tu Basic Matumiz!! Naomba Uniambie Nianze Kusoma Nin? Nifanye Nin? Material Nitapata Wapi? Asanten
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wataalamu wa haya mambo nahitaji msaada wenu katika ili nahitaji kupata huduma hiyo ila sitaki kila mwezi kulipia nahitaji huduma ya lifetime nikifunga nimefunga nakusahu na yenye chanels nyingi...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Habari wanajukwaa kama kichwa kinavyijieleza kuwa nina lapotop yangu aina ya samsung notebook sijaitumia kwa muda wa miezi kama tisa hivi sasa jana nimejaribu kuiwasha bt haiwaki nimejaribu...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Eti wana jf kuna madhara yoyote yatokanayo na kutumia simu za touch screen au ni uzushi tu miongoni mwa watu
1 Reactions
21 Replies
7K Views
Back
Top Bottom