Apple Inc katika ubora wao ,FBI waja juu ,human right activists side with Apple ...

Leo-live Wire

JF-Expert Member
Jul 22, 2013
365
171
Nimekua nikifuatilia hili swala Kwa mda mrefu juu ya hili sa kata la simu iliopatikana katika eneo la tukio huko San Bernadine marekani na jinsi FBI wanavo haha kufungua simu ambayo ilikutwa katika eneo la tukio....je ina maanisha kua wenzetu wana heshimu sana haki za binadamu kiasi kwamba personal freedom and privacy iko katika Kiwango cha juu sana maana Apple wamegoma Katu Katu kushirikiana na Hawa FBI licha ya kwamba Hawaungi mkono magaidi au ugaidi...hili tukio lina leta taswira gani Kwa chombo hicho cha uchi hizi na usalama cha serikali ya marekani ?maana ninachokiona ni end justify the means sio means will justify the end .....karibuni Kwa maoni na mchango wenu katika hili. Nawasilisha.
 
hapo kuna siri ya faragha iliyo kithiri.... Kwa lugha nyingine Apple ni wafanyabiashara wanataka kuionesha Dunia ni jinsi gani wanavyoweza kutunza siri za wateja hao....hizo ni mbinu za kibishara na Apple hapo wapo kibiashara zaidi kijana...
 
Taarifa za leo Machi 22 saa tano asubuhi ni kwamba, wameshaweza kuifungua hiyo simu kwa msaada wa CIA. Na kumbukeni hawa wenzetu wanajua sana kucheza na akili za watu, Apple kukataa ni sehemu ya 'plan' in business, hivyo usiumizwe sana kichwa na hilo.
 
hapo kuna siri ya faragha iliyo kithiri.... Kwa lugha nyingine Apple ni wafanyabiashara wanataka kuionesha Dunia ni jinsi gani wanavyoweza kutunza siri za wateja hao....hizo ni mbinu za kibishara na Apple hapo wapo kibiashara zaidi kijana...
Nilishawahi kusema humu kwamba hi ni move ya kibiashara wala hakuna huo utumbo wanaosema....ila kuna mtu akanishambulia hapa.
 
Kama Apple wangekubali ku"unlock" simu ya jamaa basi ingepoteza wateja wake wengi sana duniani. Nchi kubwa zinajitahidi sana kuheshimu mikataba kwa mfano "On its website, Apple says: "For all devices running iOS 8 and later versions, Apple will not perform iOS data extractions in response to government search warrants because the files to be extracted are protected by an encryption key that is tied to the user's passcode, which Apple does not possess."

Ingawa nimeona kwenye taarifa ya habari FBI wameiomba mahakama kuifutilia mbali hiyo kesi ya apple, inawezekana kuna issue inaendelea chini ya carpet.
 
hapo kuna siri ya faragha iliyo kithiri.... Kwa lugha nyingine Apple ni wafanyabiashara wanataka kuionesha Dunia ni jinsi gani wanavyoweza kutunza siri za wateja hao....hizo ni mbinu za kibishara na Apple hapo wapo kibiashara zaidi kijana...
Na Kwa security apple wako juu ...snow den alizoea virahisi but hapa naona pamoja na kua mafichoni kachemkaaaa
 
FBI wanasema sasa hawahitaji msaada wa apple tena wanasema wataifungua mwenyewe
 
Ukweli ni kwamba FBI hawawezi kushindwa kuifungua simu hiyo ya apple.. Point kubwa hapa ambayo FBI walikuwa wanajaribu ku-score ni kujaribu kwa kutumia mahakama ku-set a precedent kwa similar cases za baadae.. Apple nao walikuwa wanajaribu kuwatoa hofu wateja wao kwamba informations & data zao ziko salama mikononi mwao..
 
Nimekua nikifuatilia hili swala Kwa mda mrefu juu ya hili sa kata la simu iliopatikana katika eneo la tukio huko San Bernadine marekani na jinsi FBI wanavo haha kufungua simu ambayo ilikutwa katika eneo la tukio....je ina maanisha kua wenzetu wana heshimu sana haki za binadamu kiasi kwamba personal freedom and privacy iko katika Kiwango cha juu sana maana Apple wamegoma Katu Katu kushirikiana na Hawa FBI licha ya kwamba Hawaungi mkono magaidi au ugaidi...hili tukio lina leta taswira gani Kwa chombo hicho cha uchi hizi na usalama cha serikali ya marekani ?maana ninachokiona ni end justify the means sio means will justify the end .....karibuni Kwa maoni na mchango wenu katika hili. Nawasilisha.
Here’s how the FBI might crack the San Bernardino iPhone
Here’s how the FBI might crack the San Bernardino iPhone


FBI may have found way to unlock San Bernardino shooter's iPhone without Apple
FBI may have found way to unlock San Bernardino shooter's iPhone without Apple
 
Ukweli ni kwamba FBI hawawezi kushindwa kuifungua simu hiyo ya apple.. Point kubwa hapa ambayo FBI walikuwa wanajaribu ku-score ni kujaribu kwa kutumia mahakama ku-set a precedent kwa similar cases za baadae.. Apple nao walikuwa wanajaribu kuwatoa hofu wateja wao kwamba informations & data zao ziko salama mikononi mwao..
Nimeshindwa waelewa FBI kuhusu kufungua Kwa sababu wAmempa apple conditions ....as long as Kwa msemaji wa apple Anasema "wants to access the data but the device can only be unlocked by entering the correct passcode.
Guessing the code incorrectly too many times could permanently delete all data on the phone, so the FBI had asked Apple to develop a new version of its operating system that circumvents some of its security features.
Last month the DOJ obtained a court order directing Apple to create that software,
But Apple has fought back, stating that creating a compromised version of the operating system would have security implications for millions of iPhone users and would set a precedent.
The company has received support from other tech giants including, Google, Microsoft, and Facebook, as it resisted a court order to unlock the iPhone."licha ya hayo bill gates pamoja na director wa FBI wako njia panda ambapo bill gates ana support incription ya apple na director somehow but all in all FBI wamefeli tayari ......."This is the hardest question I have seen in government and it's going to require negotiation and conversation," Mr Comey told the House Intelligence Committee.
"I love encryption, I love privacy, and when I hear corporations saying we're going to take you to a world where no one can look at your stuff, part of me thinks that's great," he said.
However, he added, law enforcement saved lives, rescued children and prevented terror attacks using search warrants that gave it access to information on mobile phones.
"We are going to move to a world where that is not possible anymore," he said. "The world will not end but it will be a different world than where we are today and where we were in 2014."
People needed to understand "the costs associated with moving to a world of universal strong encryption", he added.
Mr Comey said it should be left to Congress and others to decide about what counted as reasonable law enforcement access to encrypted data.
He also said if Apple did unlock the phone it was "unlikely to be a trailblazer" for many future cases. The speed with which the technology in smartphones changes meant any defects Apple exploited to get at data would not be present in newer gadgets. Despite this, he added that it would be "instructive" for other courts.
At another hearing Microsoft President Brad Smith said it would be filing an amicus brief to support Apple's position.
Mr Smith told a House Judiciary Committee that Microsoft "wholeheartedly" supported Apple on the issue of resisting calls to unlock the phone.
Earlier this week Microsoft founder Bill Gates said the row should prompt a debate about the access that law enforcement gets to data in terror investigations.
The row between Apple and the FBI over the phone of Farook blew up last week when the bureau asked the electronics firm for help to unlock the smartphone. Farook and his wife Tashfeen Malik killed 14 people and wounded 22 others during the attack in San Bernad"....na baada ya kuona wamefeli hawakuchoka wanataka wapewe access Kwa condition kama hizi......."The FBI has asked Apple to disable a feature that means the data on an iPhone is erased after 10 incorrect attempts at the four-digit password. It also wants to be able to run software that could go through the 10,000 possible combinations to unlock the gunman's handset quickly.
Apple says agreeing to the request would set "a dangerous precedent".....so hata CIA bado hawajafamikiwa na hii issue inapelekwa Kwa congress Kwa mazungumzo zaidi .....ina gain attention kubwa sana sasa hapa sijajua ni issue ya ku raise company au kuna self interests zina hang hapo....hii issue imekua tata sana US paka muda huu .....karibia kila taasisi zinalizungumzia pamoja na watu maarufu Kwa mirengo tofauti.
 
Mimi nikishaona issue IPO discussed mwaka mzima basi kanuni yangu huwa inaniambia kuwa ni Mambo ya system ya nchi husika. Kama ile issue ya ndege ya Malaysia ilikuwa discussed throughout year.

Naona mauzo ya Apple miaka hii lazima Yata double. Nasubiria na sisi Tz mwaka wa kuwa na kampuni ya simu ya Tikiti maji na System ya tz wakitaka kufungua simu yangu na Tikiti maji kugoma kuwapa security code.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom