kabla hatujafika huko kwenye gharama kwanza game mmelipia? developer anajua?chief mkwawa.
usiongee kitu usichokijua.
na usipende ku comment usichokijua.
gharama za mashindano unajua ni sh ngapi?
na unajua mashindano yanaendeshwaje.
gharama za media unazijua tena clouds..super brand redio.
tena unaendelea kudhiririsha kuwa wewe uwezo wako ni mdogo.... siwezi kuendelea kubishana na mtu mwenye kuona giza mchana.. unaongea pumba. poor tanzanian mindset. utakuwa masikini mpaka unakufa. chief- mkwawa.kabla hatujafika huko kwenye gharama kwanza game mmelipia? developer anajua?
bahati nzuri anaetoa riziki sio wewe.tena unaendelea kudhiririsha kuwa wewe uwezo wako ni mdogo.... siwezi kuendelea kubishana na mtu mwenye kuona giza mchana.. unaongea pumba. poor tanzanian mindset. utakuwa masikini mpaka unakufa. chief- mkwawa.
Acha taarabu ww, ongea facts! Unaulizwa maswali marahisi unajibu taarabu.tena unaendelea kudhiririsha kuwa wewe uwezo wako ni mdogo.... siwezi kuendelea kubishana na mtu mwenye kuona giza mchana.. unaongea pumba. poor tanzanian mindset. utakuwa masikini mpaka unakufa. chief- mkwawa.
chief mkwawa.
usiongee kitu usichokijua.
na usipende ku comment usichokijua.
gharama za mashindano unajua ni sh ngapi?
na unajua mashindano yanaendeshwaje.
gharama za media unazijua tena clouds..super brand redio.
-washiriki 1000
-kiingili0 20,000
-jumla ya hela zitakazopatikana kwenye viingilio milioni 20
-mshindi milioni 5
-muandaaji milioni 15
nice try, hapo hamuendi kushindana mshindi ni huyo muandaaji
bahati nzuri anaetoa riziki sio wewe.
ungeieka hii thread jukwaa la matangazo wala nisingekuja kuharibia biashara yako ila jukwaa hili tupo huru kucriticise chochote kile, huo ni muono wangu usichukulie vitu personal.
Probability hapo ni 1/9 wala sio 1/1000 sababu wachezaji watakaofika final watakua wamecheza game 9 each.Ulikuwa kwenye akili yangu.
Ongeza gharama za kutoka hapo ulipo hadi kwenda Quality Center kwa ajili ya kucheza game.
Kumbuka probability ya kushinda ni 1/1000.
Probability hapo ni 1/9 wala sio 1/1000 sababu wachezaji watakaofika final watakua wamecheza game 9 each.
-washiriki 1000
-kiingili0 20,000
-jumla ya hela zitakazopatikana kwenye viingilio milioni 20
-mshindi milioni 5
-muandaaji milioni 15
nice try, hapo hamuendi kushindana mshindi ni huyo muandaaji
kabla hatujafika huko kwenye gharama kwanza game mmelipia? developer anajua?
bahati nzuri anaetoa riziki sio wewe.
ungeieka hii thread jukwaa la matangazo wala nisingekuja kuharibia biashara yako ila jukwaa hili tupo huru kucriticise chochote kile, huo ni muono wangu usichukulie vitu personal.
tena unaendelea kudhiririsha kuwa wewe uwezo wako ni mdogo.... siwezi kuendelea kubishana na mtu mwenye kuona giza mchana.. unaongea pumba. poor tanzanian mindset. utakuwa masikini mpaka unakufa. chief- mkwawa.
Mkuu unaelewa maana ya kucheza mashindano kwa makundi?Probability haiwezi kua 1/9, ni 1/1000 kama jamaa alivyo jibu pale juu kirahisi kabisa sababu mshindi ni moja kati ya 1000 usiifikirie zaidi ya hapo itakuchanganya.
Hiyo proba yako ni proba ya kushinda 1 out of 9 games, which isnt true coz hadi mshindi apatikane means watakua wamecheza 9/10 games tayari wameshinda na kubaki na 1 game. Kushinda just a single game doesnt make you a winner of the tournament, you have to multiply all the probabilities from the beginning of the game hadi mwisho sio ya mwisho tu coz unaweza usifike round ya mwisho ukaishia ya 8 chance yako haikua zero, sema imekua zero after you have lost.
Kirahisi unaweza fanya hii hesabu kwa njia nyingi na zote zitakuleta kwenye 1/1000. Njia yako akili tu ya kawaida kila mtu akishindana na mwenzake game moja, mtu moja probability ya kushinda ni 1/2, watabaki 500 then 1/2 watabaki 250, nenda hivohivo hadi anabaki mtu moja then zidisha all the probabilities za the same single person kushinda utapata 1/1000.