Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari za siku wakuu, leo hii nilikuwa katika pita pita zangu kwenye mtandao nikakutana na hii Sasa watumiaji wa huu mtandao naomba maelezo kidogo. Je; Kweli ni unlimited au ni unlimited zetu...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Wana JF ambao wametumia simu za android katika matumizi ambayo sio ya kupiga, kutuma sms na kuchati Whatsapp na FB tu, aliye tumia simu katika kazi mbalimbali kama kucheza game aina yoyote...
2 Reactions
31 Replies
9K Views
habari za mapumziko ya wiki wanajukwaa. Nina betri ya solar ya volt 12,kwa kuwa pia laptop zinatumia mfumo wa dc ,nawezaje kutumia bila ya inverter?msaada tafadhali
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Jamni naombeni msaada ya namna yakuroot simu yangu maana nimejaribu njia nying zimegoma. Simu inanisumbua coz ina internal space ndogo sana. Its android version 2.3.6 Gingerbread. Nilishajaribu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu msaada jinsi ya kuweka windows 7 kwenye computer HP desk top, nimejaribu nimeshindwa inaleta BMR missing
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Habarini Naombeni kujua kama kuna application ukidownload unaweza kujua ni akina nai wame view profile yangu ya instagram! Asanteni
2 Reactions
6 Replies
945 Views
IDENTIFICATION OF WORKS I DO. NAME: ANZURUNI SHEMU. PROFESSIONAL: ELECTRICAL ENGINEERING. INSTRUMENT: 1 PERSONAL COMPUTER(LAPTOP). PHONE NO: +255753970366 or +255 789254607. EMAIL...
1 Reactions
0 Replies
420 Views
Habari wana jamvi.. Simu yangu ni Samsung galaxy note2 . nataka kuitumia kama modem katika computer cha ajabu inaniletea "mobile data is not available or invalid SIM" hiyo invalid somu inakuja...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani mimi ni .wanafunzi wa mwaka wa kwanza Bsc.informatics sokoine univeristy natamani niwe software programmer au software engneer naombeni mnisaidie kujua msingi wa hii programme ikiwezekana...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Wanajamvi, tafaadhali msaada wa kuweza kutumia modem ya airtel kwa laini nyingine. Pia kuna modem hii yenye chata hili HSDPA nawezaje kuitumia. Naambatisha picha kwa zote mbili
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natumia Huawei MT1-U06 ina download apps automatically na a lot of ads appers nikiwa naitumia sometimes inaji restart automatically nifanyaje wana jamii forum .
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Husika na heading hapo juu.. Hii nmepewa mm toka kwenye mgao wa mali za marehemu tuliyempoteza mwezi mmoja uliopita kutokana na ajal ya gar.. nmejarbu.. Simu nmejarbu password mara3 lakn bado...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jaman msaada,,,simu yangu mdogo wangu aliniomba atumie internet kwa facebook,sijui imekuwaje,ameiwekea simy lock kwa parrten,,na hakumbuki alivyoweka,,naomba msaada tafali jinsi ya ku unlock hiyo simu
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habarii zenuu ladies n gents.Naombenii ushaurii simu yangu inasumbua play storee so nashindwaa, kudownload app mbalimbali kama wasap coz haifungukii, Je nifanyajee? Naombenii ushaurii wenu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu Niko interest sana na inshu za Taa au mifumo ya Taa kuanzia upambaji wa taa ktk makumbi au majukwaa sina experience sana na rangi taa safi zinazopendeza ktk kumbi kingine kumekuwa na system...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kulimwa ban ya siku kadhaae, leo kwa nguvu na afya tele tuangalie sehemu ya tano ya maujanja, make life ease in that way If you have any comment, write down straight ahead nitazijibu...
10 Reactions
23 Replies
7K Views
Natanguliza shukrani natumia Android Os
0 Reactions
0 Replies
628 Views
Nijuzeni.. Ipi nzuriii.. OS. NI Android wakuu
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Habari wana jf, naomba msaada wa application inayotafsiri lugha yani kiswa to english yani naandika sentesi ya kiswahili inatafsiri sentesi nzima ama kingleza inatafsiri kiswa hili . mfano a...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta mtu wa kuntengenezea apps angu and ina cost how much kuregister apps Brela.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom