Sambusa kavu
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 811
- 1,312
Wakuu wa jukwaa poleni na majukumu..Nataka ninunue tablet kwa ajili ya matumizi yangu binafsi,nimegoogle current best tablet in market nikakutana na hii hapa Galaxy tab s 10.5
naomba maoni yenu kwa wenye uzoefu nayo hii itanifaa? au kuna nzuri zaidi ya hii?
hints:nilikuwa nataka tablets yenye vigezo vifuatavyo
- iwe inatumia sim card
-yenye front na back camera
-ram kubwa ya kutosha - hata games ambazo sio nzito sana niweze kuzicheza
-battery nzuri
Pia ntashukuru sana kama mkinifahamisha na bei yake ni sh ngapi ili nisije nikazidiwa kete na wajanja..natanguliza shukrani zangu kwenu.
naomba maoni yenu kwa wenye uzoefu nayo hii itanifaa? au kuna nzuri zaidi ya hii?
hints:nilikuwa nataka tablets yenye vigezo vifuatavyo
- iwe inatumia sim card
-yenye front na back camera
-ram kubwa ya kutosha - hata games ambazo sio nzito sana niweze kuzicheza
-battery nzuri
Pia ntashukuru sana kama mkinifahamisha na bei yake ni sh ngapi ili nisije nikazidiwa kete na wajanja..natanguliza shukrani zangu kwenu.