hbr!naomba msaada juu ya kunlock huawei e173-1` nimejaribu kila njia ila zina unlock ila inakaataa tena another simcard na ikifuata hizo tool inakuambia tena locked.\
Sabakher Wadau;
Ningependa Kujifunza Programming! Ila Sina Hata Moja Kichwani! Nina Pc Yangu Najua Tu Basic Matumiz!! Naomba Uniambie Nianze Kusoma Nin? Nifanye Nin? Material Nitapata Wapi? Asanten
Wataalamu wa haya mambo nahitaji msaada wenu katika ili nahitaji kupata huduma hiyo ila sitaki kila mwezi kulipia nahitaji huduma ya lifetime nikifunga nimefunga nakusahu na yenye chanels nyingi...
Habari wanajukwaa kama kichwa kinavyijieleza kuwa nina lapotop yangu aina ya samsung notebook sijaitumia kwa muda wa miezi kama tisa hivi sasa jana nimejaribu kuiwasha bt haiwaki nimejaribu...
Muziki una sehemu kubwa sana katika maisha yetu. Mara nyingi tunasikiliza miziki tunayoipenda ili kujiridhisha na kupata faraja ya moyo. [ 384 more words. ]
App 5 Bora Za Android Kwa Ajili Ya...
Naomba msaada wa kujua simu lg g3 orginal ntaijuaje. Nipo kahama nimeuliza duka la simu lakwanza nimekuta lg g3 1, 000, 000 . duka la pili 780, 000, nikaenda la tatu 900000 wapi itakuwa original
Salaam wakuu.
Nimekuwa nikitumia browser kama Mozilla na Chrome PC yangu lakini kwa sasa hazifungui page yoyote sjui kwa nini.
Natumia simu kupata internet kwa kufanya usb tethering kwenda kwa...
Salaam wadau.
Hope mko salama kabisa. Well, kama mada inavyojieleza nilikuwa natumia Lucky Patcher kufanya In App Purchase ila siku hizi inakataa sjui kwa nini.
Kuna hii freedom inahitaji root...
Habari za wakati huu wana JF.
naomba mwenye ufahamu na hizi processor zinazotumika kwenye mobile phones zetu atuambie ubora wake tofauti na nyingine mfano snapdragon 200, S4, 400 etc. ARM na...
Motherboard ya CPU tajwa imeharibika na nahitaji kuibadili Mpya, ambaye anaweza nisaidia kwa alie Kariakoo au anajua duka wanapouza hizi motherboard anielekeze
The future of pizza is here!
Fastfood pizza chain Domino's has turned a military robot into a pizza delivery droid — and it's fairly adorable. The robot has claimed the title of the "world's...
Wakuu, kuna mtu yoyote bado anapata digital channels (FTA) through tv zenyewe internal receivers (bila kutumia king'amuzi cha nje) kwa wale waliokuwa wanazipata hapo awali.?
Kwangu zimepotea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.