Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

hbr!naomba msaada juu ya kunlock huawei e173-1` nimejaribu kila njia ila zina unlock ila inakaataa tena another simcard na ikifuata hizo tool inakuambia tena locked.\
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Sabakher Wadau; Ningependa Kujifunza Programming! Ila Sina Hata Moja Kichwani! Nina Pc Yangu Najua Tu Basic Matumiz!! Naomba Uniambie Nianze Kusoma Nin? Nifanye Nin? Material Nitapata Wapi? Asanten
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wataalamu wa haya mambo nahitaji msaada wenu katika ili nahitaji kupata huduma hiyo ila sitaki kila mwezi kulipia nahitaji huduma ya lifetime nikifunga nimefunga nakusahu na yenye chanels nyingi...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Habari wanajukwaa kama kichwa kinavyijieleza kuwa nina lapotop yangu aina ya samsung notebook sijaitumia kwa muda wa miezi kama tisa hivi sasa jana nimejaribu kuiwasha bt haiwaki nimejaribu...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Eti wana jf kuna madhara yoyote yatokanayo na kutumia simu za touch screen au ni uzushi tu miongoni mwa watu
1 Reactions
21 Replies
7K Views
Muziki una sehemu kubwa sana katika maisha yetu. Mara nyingi tunasikiliza miziki tunayoipenda ili kujiridhisha na kupata faraja ya moyo. [ 384 more words. ] App 5 Bora Za Android Kwa Ajili Ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba msaada wa kujua simu lg g3 orginal ntaijuaje. Nipo kahama nimeuliza duka la simu lakwanza nimekuta lg g3 1, 000, 000 . duka la pili 780, 000, nikaenda la tatu 900000 wapi itakuwa original
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Salaam wakuu. Nimekuwa nikitumia browser kama Mozilla na Chrome PC yangu lakini kwa sasa hazifungui page yoyote sjui kwa nini. Natumia simu kupata internet kwa kufanya usb tethering kwenda kwa...
0 Reactions
137 Replies
9K Views
Window 10 hana mpinzani nakushauri ewe mwana JF weka window 10 kwenye PC yako hakika hautajuta milele.
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Salaam wadau. Hope mko salama kabisa. Well, kama mada inavyojieleza nilikuwa natumia Lucky Patcher kufanya In App Purchase ila siku hizi inakataa sjui kwa nini. Kuna hii freedom inahitaji root...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wakuu! Hata kama used ilimradi ipige mzigo fresh bei maelewano 0743695032
1 Reactions
0 Replies
742 Views
Habari za wakati huu wana JF. naomba mwenye ufahamu na hizi processor zinazotumika kwenye mobile phones zetu atuambie ubora wake tofauti na nyingine mfano snapdragon 200, S4, 400 etc. ARM na...
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Forever IPTV (3500+ HD&SD live online) Foever IKS (Europe, Africa and Middle east)
2 Reactions
15 Replies
51K Views
Motherboard ya CPU tajwa imeharibika na nahitaji kuibadili Mpya, ambaye anaweza nisaidia kwa alie Kariakoo au anajua duka wanapouza hizi motherboard anielekeze
0 Reactions
0 Replies
981 Views
kwa wale wataalam wa maswalwacartoon animation mnipe darasa napenda kutengenea ka vile ubongokids wanavyofanya shule tafadhari!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natumia tecno Y4. Nawasilisha wakuu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Namna ya kulipia channels kwenye tv iliyounganishwa na king'amuz kwa ndani
0 Reactions
3 Replies
619 Views
The future of pizza is here! Fastfood pizza chain Domino's has turned a military robot into a pizza delivery droid — and it's fairly adorable. The robot has claimed the title of the "world's...
1 Reactions
1 Replies
882 Views
Wakuu, kuna mtu yoyote bado anapata digital channels (FTA) through tv zenyewe internal receivers (bila kutumia king'amuzi cha nje) kwa wale waliokuwa wanazipata hapo awali.? Kwangu zimepotea...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habari nina modem tajwa hapo juu naombeni msaada jinsi ya kuiunlock mana nilipo internet ya voda ni janga CHIEF MKWAWA na wengineo msaada
0 Reactions
1 Replies
632 Views
Back
Top Bottom