Albert alimaanisha nini E=Mc2

Albert alimaanisha nini E=Mc2

Bonesmen

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2016
Posts
929
Reaction score
994
Wakuu huwa napata wakati mgumu kutafsiri hii equation ya Mkulu Albert Einstein je alimaanisha nini kusema energy ni sawa sawa na uzito yani mass kuzidisha Speed ya mwanga iliyo squared?
 
Wakuu huwa napata wakati mgumu kutafsiri hii equation ya Mkulu Albert Einstein je alimaanisha nini kusema energy ni sawa sawa na uzito yani mass kuzidisha Speed ya mwanga iliyo squared?
...Maelezo haya hapa, yanaweza kukusaidia kuelewa na kutafsiri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom