x - mas
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 931
- 612
habari zenu waungwana!naomba kupata mawazo yenu juu ya swala la ufundi umeme ninao fanya kwani sijawahi somea chuo chochote ila nimewahi fanya kazi za wiring za nyumba mara mbili tu na fundi mzoefu tangu hapo nimekuwa nikifanya wiring bila kuwa na fundi tena wiring ya nyumba za kisasa lakini nimeweza kutengeneza mashine mbambali na vifaa vingine vya umeme kama majiko,fan,pasi,mashine za kuokea mikate bakary n.k.kwakweli kwangu umeme naona ni kitu rahisi mno.je,uwezo huu nolionao ni mimi tu au kila mtu yupo hivi ila labda kwa sababu ya hobby ndomaana hawajihusishi na maswala ya umeme na kama nina kitu cha tofauti nifanye nini ili niwe katika viwango vya juu vya ufundi?