Binadamu waanza kuishtukia Apple, lakini wameshachelewa!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Baada ya kuhadaa watu kwa muda mrefu na kutengeneza faida ya kufa mtu kwa kutumia teknolojia ambayo wala siyo mpya Kampuni ya Apple inc. sasa imeanza kushtukiwa, watu wameanza kuamka na kujiuliza kama kweli wanahitaji kulipa dola (US) mpaka 800 kwa kimkebe tu cha simu ambacho karibia asilimia 80 ya vitu ilivyonavyo hauvihitaji!

Sasa Apple inc. kwa mara ya kwanza wameanza kupata hasara kwani wanunuzi wamepungua sana tu, lkn Binadamu wameanza kuerevuka wkt Apple ashatajirika tayari na wala hawahitaji tena!
 
Hii habari yako Kama inakiukweli fulani,hakuna mwanzo uliokosa mwisho.Nokia ,BlackBerry zote hizi zilitamba sanaaaa miaka hiyo , hata hawa Apple wataanguka tuu.

Ukitumia apple ndo utajua utamu wake hawa jamaa n kama wanakuendea kwa mganga af wakikuoa dawa mganga anakufa hutoki kabsa.wao kwa sasa wana implement mambo ya miaka ya 2025-........... Na siku wakianguka basi Tz itaanza kutoa misaada kwa nchi za Ulaya na america
Mark this Post .
one day tumia macbook air tumia iphone then chukua earpod zile tumia kwenye macbook uskie jamaa kua ile ela unayonunua unahisi kama umewapga. Nina iphone natumia mwaka wa 4 haijawaihata nipa tatzo lolote kuhusu betri au software.
 
Mzee wako mjanja sana aisee mpka ana balaa hyo sim n ya mzee wako ndo mana unaona kama tecno muulize alinunua bei gan na anaipenda kiasi gani..!!!!siku ipasuke hata kioo utamwona atakavorush fasta kwa fundi na kumsimamia asuke fasta.
ahahahaahahahahah sawa mkuu...
 
Baada ya kuhadaa watu kwa muda mrefu na kutengeneza faida ya kufa mtu kwa kutumia teknolojia ambayo wala siyo mpya Kampuni ya Apple inc. sasa imeanza kushtukiwa, watu wameanza kuamka na kujiuliza kama kweli wanahitaji kulipa dola (US) mpaka 800 kwa kimkebe tu cha simu ambacho karibia asilimia 80 ya vitu ilivyonavyo hauvihitaji!

Sasa Apple inc. kwa mara ya kwanza wameanza kupata hasara kwani wanunuzi wamepungua sana tu, lkn Binadamu wameanza kuerevuka wkt Apple ashatajirika tayari na wala hawahitaji tena!
Utafiti ni mhimu sana unapotaka kuchagua simu, simu za smartphone za bei kubwa sio iphone pekee zipo nyingi kama Samsung, na nyingine za makampuni ya China kama Meizu, oppo, gionee, xiaomi, nk kwani simu inakuwa na bei kubwa, vipo vitu kadhaa vinavyo changia kwanza kioo, camera, processor speed, battery, nk mfano tu kioo kinachotumika kwa simu ya Samsung s7 super amoled + golira grass ni dola 270 sawa na kununua simu kali na chenji hiyo tecno mpya (https://www.google.com/url?sa=t&sou...Gr_89ONiv7DGYUNNQ&sig2=5_feIfnXgOYYjPNksh-16Q) ukija kwa matumizi iphone security yake ipo juu na support kulinganisha na simu zingine, kwa watanzania wengi swali la security kwao sio la mhimu ndio maana mtu anasema ni kupoteza pesa kununua iphone, mwisho nunua simu kulingana na matumizi yako sio unanuna simu smartphone ya mambo mengi wakati wewe unatumia kama simu old model
Baada ya kuhadaa watu kwa muda mrefu na kutengeneza faida ya kufa mtu kwa kutumia teknolojia ambayo wala siyo mpya Kampuni ya Apple inc. sasa imeanza kushtukiwa, watu wameanza kuamka na kujiuliza kama kweli wanahitaji kulipa dola (US) mpaka 800 kwa kimkebe tu cha simu ambacho karibia asilimia 80 ya vitu ilivyonavyo hauvihitaji!

Sasa Apple inc. kwa mara ya kwanza wameanza kupata hasara kwani wanunuzi wamepungua sana tu, lkn Binadamu wameanza kuerevuka wkt Apple ashatajirika tayari na wala hawahitaji tena!
 
Mzee wako mjanja sana aisee mpka ana balaa hyo sim n ya mzee wako ndo mana unaona kama tecno muulize alinunua bei gan na anaipenda kiasi gani..!!!!siku ipasuke hata kioo utamwona atakavorush fasta kwa fundi na kumsimamia asuke fasta.
Madogo wanachezea sana kama toys, najua bei sana kaichukua us dollar 800 ila sasa yaani haina kazi ni mchezo wa watoto mpk huwa namuuliza ulinunua ili uonekane maana pia ana htc ndiyo anaitumia time nyingi.
 
Ukitumia apple ndo utajua utamu wake hawa jamaa n kama wanakuendea kwa mganga af wakikuoa dawa mganga anakufa hutoki kabsa.wao kwa sasa wana implement mambo ya miaka ya 2025-........... Na siku wakianguka basi Tz itaanza kutoa misaada kwa nchi za Ulaya na america
Mark this Post .
one day tumia macbook air tumia iphone then chukua earpod zile tumia kwenye macbook uskie jamaa kua ile ela unayonunua unahisi kama umewapga. Nina iphone natumia mwaka wa 4 haijawaihata nipa tatzo lolote kuhusu betri au software.

Ndugu ,kusema ukweli sio kwamba mtu ndio ujawahi kutumia vifaa vyao.mimi nimetumia simu zao tuu zote walizowahi kutoa, na sasa nipo na IPhone 6s plus.ndio wapo vizuri Sanaa ,lakini alichosema Ndugu hapo juu ndio kinatokea sasa ,maana Apple faida yao kubwa walikuwa wanapata huko China sasa unaambiwa kutokana na ushindani sasa wa makampuni mengine ya simu msimu huu mauzo yalianguka vibaya sana na wataalamu wanashauri Apple wanatakiwa kuja na kitu kipya,lakini wakiendelea hivi basi watawafuata Nokia ,BlackBerry.maana Dunia inabadilika pia maisha yanakuwa magumu kila upande ,Kama ukiangalia watumiaji wa vifaa vyao kwa Afrika ni wachache sana kulinganisha na Mabara mengine,haya Kama China na Nchi nyingine za Asia zitapunguza soko lao si hatari kibiashara Kwao ?.wamegundua hilo wamejaribu kutoa IPhone SE kwa wanaoweza kulipa kidogo,hata hivyo kibongo bongo bado ghali tuu
 
Back
Top Bottom