Enzi za kuchaji simu mara moja au mbili tuu kwa wiki, enzi za kutoshtuka kivile pale simu inapodondoka…. Watumiaji wapya wa simu watakuwa hawaelezi haya ila wale waliokuwa na simu tokea enzi za...
jamani hivi sahizi ukifungu a site yao una pigwa na porn za ajabu ajabu sijui kama wanajua....hata ukisearch google wanakuambia this site may have been hacked!...check now
update
ukifungua link...
Naomba kwa mtu anayefahamu vitu vya ziada zaidi ninavyoweza kufanya kwaaji ya ulinzi wa simu ikiibiwa au mtu akitaka kufungua taarifa za simu yangu,nawasilisha
Habari wana jamii forum,
Ninashida na king'amuzi changu cha startimes picha imekata halafu inaniambia No acces not subscribed, nimenunua kina mwezi na nusu na walinambia nitaangalia miezi 3 ndo...
Habari wana jf,
Nina simu yangu Blackberry Z10 nimei-ristoo sasa kwa bahati mbaya ilikaa muda mrefu sana kama lisaa ikiwa ina load tu mpaka chaji ikaisha sasa baada ya kuchomeka kwenye charge...
Nauliza kidogo, naona watu wanazichangamkia sana hizi gari aina ya TOYOTA BREVIS. Kuna nini cha ziada?
============
The Toyota Brevis is a mid-sized luxury sedan introduced in May 2001...
Je unajua kipi kinafanyika kwa akaunti ya Facebook ya mtu aliyefariki?
Hiyo ndio mada yetu ya wiki hii katika kipindi cha Sema Uvume. Facebook imetangaza sera mpya inayokuruhusu kuchagua mtu...
Nina blog yangu shida ni kwamba nashindwa kuweka vipengele mfano msomaji akifungua akute kuna sehemu ya habari, magazeti, ajira nk yani akifungua halafu aende kwenye sehemu husika
Wapendwa za asubuh,, naomba msaada jinsi gani naweza kukonect laptops mbili na kutransfer file kutoka laptop moja kwenda nyingine kwa kutumia lan cable,, au ka kuna njia nyingine tofauti na lan...
Nimeona niwashirikishe wenzangu wenye simu baada ya kushirikishwa kwamba ni vyema unapochaji hakikisha alama ya kwenye kichwa cha chaja iko sahihi unapoingiza badala ya kubahatisha kwani kwa...
Kila nikifungua mozilla Firefox inaandika "Firefox has stopped Working" halafu inasema check Online for solution and close a program hata nikifanya hivyo bado haitatui hayo matatizo ki fupi...
Wadau natumia simu aina ya sumsung Duos laini mbili na model namba yake ni
SM-G 360H
Hii simu yangu ina high sensitve touch ambayo nikiwa naitumia wakati nimewasha data inaniumiza sana ngozi ya...
Habari zenu wanajamii forum
Naomba msaada kwani kompyuta yangu imeingia kwenye maji na haiwaki tena,je inaweza kuirudia hali yake ya awali au nifanyaje?hekima zenu wakuu
kupitia jukwaa hili nilitoa thread kuhusu namna ya kuinstall window katika laptop yangu.
Nashukuru wadau wote mlionishauri mpaka nimefanikiwa kuweka window nyingine baada ya iliokuwepo kucollapse...
Nokia Is Back in the Mobile Phone Business
by
Reuters
May 18, 2016, 7:50 AM EDT
E-mail
Tweet
Facebook
Linkedin
Share icons
HMD Global Oy will use the Nokia name in brand-licensing deal...
Habarini ni zaidi ya wiki mbili sasa kuna kiasi kimekuwa blocked katika akaunti yangu hivyo kushindwa kufanya transaction mpya baada ya kuwasiliana na customer care wa CRDB naambiwa sababu ni...
Habari za asubuhi wanaJF,
Jana nilijaribu kutaka kujua kama simu yangu ya star time panet 5 ni bandia, nikafanya kama walivyotuelekeza TCRA baada ya kufanya hivo majibu yakaja kuwa simu feki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.