Hii simu ilidumbukia kwenye maji baada yakuitoa nakuikausha ikawa inawaka nakuishia kwenye ile Logo ya Expirince smartlife now.. Haiendelei tena.. Nimejaribu kuhard reset imegoma nimejaribu...
Wakuu naomba mnisaidie elimu hapa, simu yangu ni microsoft lumia 535 na haitunzi charge haswa kama nikiwa safarini nakuwa naishiwa charge kabla sijafka.
Naomba mnijuze ni aina gani ya power bank...
Nimefight kweli kutafuta cracked idm kila site hola,wengine wanasema craked ukidownload serial key needed jamani,,,watalam mwenye direct link anipe nisisumbuke na sitaaupdate tenaa dah mateso gani...
jamani msaada kwa wenye uelewa na hili suala. Nina laptop aina ya Hp probook 6570. Huwa nikiweka cursor kwenye alama ya bettery inaonyesha hivi
Bettery #1
Bettery #2
Sasa hili betri namba two ni...
Habari za Leo wapendwa
Napenda kujua mwenye utalamu was kutengeneza umeme was mbolea
(Mavi ya ng,ombe anisaidie
Nataka anijuze kuwa anaweza kunitengezea umeme huo kwa tsh. Ngapi
Nimechoshwa...
Jamani mimi ni mwanafunzi wa chuo cha ATC nasoma telecomunication and electronics.
Natafuta field sasa kuna kampuni inaitwa CAM SAT sijui ipo wapi, nataka nikaombe hapo.
Jamani nisaidieni wiki...
Wanajamvi habari za kazi,
Nina laptop dell Insporon 5050, nikijaribu kuconnect wireless network inaconnect lakini hai acces internet.
Inaniambia connected lakini no internet acces nimejaribu...
Kampuni ya simu ya Tecno ni moto mkubwa katika kampuni kubwa mama ya Transsion Holdings ambayo makao yake makuu yapo nchini Uchina, kampuni hii ilianzishwa ikiwa July 2006.
Kampuni ya simu ya...
SASA UNAWEZA TUMIA WHATSAPP SAMBAMBA KWA SIMU JANJA NA KOMPYUTA YAKO
Kampuni mama ya mtandao wa facebook imetangaza muendelezo wa mbadiliko mazuri mapya kwa mtandao wa mawasiliano unaotumika...
Pata Anti-virus aina ya Kaspersky bure kabisa kutoka hii link Bring the Friend
Unajua kuwa kwa siku Kaspersky inakamata virus 315,000 kila siku?
Jilinde sasa Bring the Friend
Haijawahi kukutokea kutamani kuwa na akaunti zaidi ya moja za Facebook, Whatsapp, Instagram na Messenger katika simu moja? Hujawahi kutamani kuwa na akaunti zaidi ya moja katika tovuti zinazotoa...
Nahitaji kuingiza window kwenye PC yangu inanigomea naomba msaada
Katika boot device menu kuna vitu vifuatavyo
*onboard sata hard drive
,*onboard or USB CD ROM drive
*system setup
*hard drive...
Habari wakuu
Jf imekua msaada kwa watu wengi sana tunao ifaahamu.. Kwakulitambua hilo nami nimeamua kutumia fursa hiyo ila kupata msaada.
Nataka nifungu kaofic kangu kakutengeneza simu, hivyo...
Kutokana na muda wangu kwa sasa, na ujuzi nilionao, nimeona ni vyema nikawawezesha wasio na uwezo wa kumiliki magazeti yao waweze kuyamiliki na warahisishe mambo yao. Iwe biashara au charity, ni...
Wakuu kuna ipad ya apple inaanza kustack au kuwa nzito wakati wa kuperuzi
Hivyo kufanya kufungua page taratibu au wakati mwingine kujifunga wakati unaendelea kuperuzi
Je ni kitu gani cha kufanya...
Habari gani? wadau wa Tech,Gadgets&Science forum.Nimekuwa nikisumbuka saana kuinstall whatsapp katika Laptop yangu inadai kama space ndogo inataka 2GB na nikalidhia nikapunguza mzigo ila bado...
Habari za weekend hii waungwana.
Leo nilipata notification ya system update ya TECNO BOOM J8 ili kufix bugs zilizopo kwenye version ya sasa.
Baada ya kuapkuwa na nilipoanza kuisakinisha (ku...
Habari zenu wakuu?
Mimi najitahidi ku install window 8 kwenye desktop yangu aina ya HP compaq inakusanya mafile ila ikijirestart inakuja error namba 2211 yenye maelezo haya 'Memory not configured...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.