Habari za weekend hii waungwana.
Leo nilipata notification ya system update ya TECNO BOOM J8 ili kufix bugs zilizopo kwenye version ya sasa.
Baada ya kuapkuwa na nilipoanza kuisakinisha (ku...
Habari zenu wakuu?
Mimi najitahidi ku install window 8 kwenye desktop yangu aina ya HP compaq inakusanya mafile ila ikijirestart inakuja error namba 2211 yenye maelezo haya 'Memory not configured...
Simu yangu ya iphone 4s haitoi option ya hotspot ninapoweka laini ya halotel, nashindwa kushare na macbook yangu. Naomba msaada kwa anayefahamu namna ya kupata huduma ya kushare network ktk laini...
Kila ikizima nikisema niiwashe inaandika hivyo na inakaa muda mrefu
Android is upgrading
Optimizing app
1 to 200
Ina loading mda mrefu ndo iwake hata 30 minutes
TECNO_8H
Ina apps nying
Jamani naombeni msaada ndugu zangu kila nikitaka kuangalia movies you tube wananiambia nifuate blue link je naipataje ili niweze angalia hii movie London has fallen?
Wadau kwenye hii Tecno p5 ya rafiki yangu ile sehemu ya sim management-defaut setting kwenye voice call,video call,messages hizo sehemu zimejifunga kwa hiyo huwezi kubadili chochote mfano unataka...
Habar za wakat huu Wadau.
Nina tatizo kwenye Simu yangu, nikiweka laini ya Airtel inawasha GPS automatically kama nimewasha data na hata nikizima baada ya sek kama 45 inajiwasha tena nimeshindwa...
Wakuu kuna rafiki yangu anasimu tajwa hapo juu ina tatizo kila anapompigia mtu inaleta Ujumbe normal calls are restricted by access control,sasa naomba msaada nitatatua vipi tatizo hill.
Natumai muwazima wapendwa wanajukwaa,
Naomba maelekezo ya kuungaanisha / kufanya wi-fi kuwa active na kuweza kuaccess internet kwenye compyuta,
Kwa kutumia simu aina ya Sony experia z ultra...
Nimekuwa nikikutana na changamoto ya simu za android hasa kwenye internet!
Wakati simu inapokuwa ikitumika kunakuwa na application zinazotokea zikihitaji ziwe installed kwenye simu na zinazuia...
Habari ndugu zangu.
Nina kacmu ka tecno j7 je ninaweza kuweka line ya 4G.
Huku nilipo tigo wameleta line za 4G na wanabadilisha au kuuza kwa Tsh 2000. Naogopa kupata hasara ya pesa kwa kununua...
Jana Tigo wamezindua App store yao.
Baada ya kuona tangazo lao kwenye browser ya Opera nikaclick, ile kuingia tu inaniambia nimejiunga na AppStore na nimepata SMS inayosoma:
"Asante kwa...
Enzi za kuchaji simu mara moja au mbili tuu kwa wiki, enzi za kutoshtuka kivile pale simu inapodondoka…. Watumiaji wapya wa simu watakuwa hawaelezi haya ila wale waliokuwa na simu tokea enzi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.