Alama Kwenye Kichwa cha Chaja

Alama Kwenye Kichwa cha Chaja

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,268
Nimeona niwashirikishe wenzangu wenye simu baada ya kushirikishwa kwamba ni vyema unapochaji hakikisha alama ya kwenye kichwa cha chaja iko sahihi unapoingiza badala ya kubahatisha kwani kwa kutofanya hivyo huua sana system ya chaji
 
Nimeona niwashirikishe wenzangu wenye simu baada ya kushirikishwa kwamba ni vyema unapochaji hakikisha alama ya kwenye kichwa cha chaja iko sahihi unapoingiza badala ya kubahatisha kwani kwa kutofanya hivyo huua sana system ya chaji
Kivipi!
 
Inategemeana Na simu yenyewe. Kwa Mfano haya matecno huwa yanaharibika hovyo hovyo.
 
Tundu lolote ukikosea kuingiza lazima uharibu system, tuwe makini.
 
kuna tofauti kubwa sana kati ya USB PORT na CHARGING SYSTEM/CHARGING UNIT.

kitakachoharibika hapo ni USB PORT tu!
 
Nimeona niwashirikishe wenzangu wenye simu baada ya kushirikishwa kwamba ni vyema unapochaji hakikisha alama ya kwenye kichwa cha chaja iko sahihi unapoingiza badala ya kubahatisha kwani kwa kutofanya hivyo huua sana system ya chaji
hebu leo tufundishe,miguu ndio ipi na hiko kichwa ni kipi kwenye chaja,ingawa ulichokiandika hapa ni utumbo mtupu,namaanisha hakieleweki..
 
mada
hebu leo tufundishe,miguu ndio ipi na hiko kichwa ni kipi kwenye chaja,ingawa ulichokiandika hapa ni utumbo mtupu,namaanisha hakieleweki..
ilishakwisha wewe katoe matongotongo yako tu
 
Back
Top Bottom