Microsoft Corp announced morebig cutsto its smartphone business on Wednesday, just two years after it bought handset maker Nokia in anill-fated attempt to take on market leaders Apple and...
Kuanzia jana usiku mpaka leo nimeweka Mb 500 mara tatu kitu ambacho si cha kawaida maana sina matumizi ya kiasi hicho mwanzoni Mb 500 zilikuwa zinakaa mpaka siku tatu. Sasa sahiv ndo hatari zaidi...
Wakuu nahitaji msaada kama kichwa kinavyojieleza naomba kama umeshawahi kufanya kazi ya blogs unipm kuna vitu nahitaji kuvifaham juu ya blogs na jinsi ambavyo unaweza kuingiza kipato kupitia...
Habari za siku wakuu?
Natumai ni wazima wa afya kabisa,
Kama title inavyojieleza naomba msaada nina siku ya tano kama sio ya sita meseji hazingii wala hazitoki
Kama kuna Code au pin za kufungua...
Wana J.f naomba msaada,hizi keypads za simu yangu(htc) huwa zinapotea kabisa...ila niki restart hii android yangu zinarudi kwa muda na kupotea tena....nisaidieni mwenzenu bila kuchangia humu naumwa!
Leo Microsoft wamewafukuza kazi watu 1,800 waliokuwa wanashughulika na kutengeneza simu za WP kwa upande wa hardware.
Hii ni ikiwa asilimia ya wanunuzi wa WP duniani wakiwa wameshuka chini ya...
Habari zenu wanajamvi.
Mimi ninatumia simu aina ya techno c8 niliiroot kwa kutumia app ya kingroot na ikafanikiwa kufanya kazi, lakini tatizo linalonisumbua ni kila baada ya saa moja hivi...
Habari inayosumbua mtaani ni kuhusu simu feki, na serikali nayo imeshindwa kuweka wazi (kwa uzembe/kutokujua) baadhi ya mambo kuhusiana na IMEI numbers vs Mobile manufactures.
Asilimia kubwa ya...
jaman kwa wale wote ambao ka ugonjwa ketu ni haya magem mazuri na makubwa,
hili game ni zuri kiukweli nmeamua kushare nanyi
BONYEZA HAPA kuli download
#Sayay theCompu3rGUY
Habari za leo wana JF.
naombeni mnijuze eneo gani katika IT lina soko yani ajira zake zipo za kutosha.
naombeni mniambie ili niweze ku specialize kwenye hilo eneo.
mimi mwanachuo nahitaji mnipe...
Habarini..
Kama ilivyo ada, watu wanapendelea games mbalimbali..wengine soka, wengine magari, wengine pikipiki wengine missions.. sijui kwa wale wa hizi flight games... mimi ni mpenzi sana wa...
Hi,
eGA kuna issue gani? Naona kuna tatizo la kupata sites za .go.tz mara kwa mara.
Ni muhimu wawe reliable kwenye availability ili kuongeza kuaminiwa.
Nimeshafungua acount ya hulkshare nakuweka baadhi ya sauti nizitakazo shida nipale ninapotaka kushare katika blog yangu ndio ninapokwama.
Kushare katika facebook na twitter naweza
Msaada wenu Wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.