Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Sijajua inakuajekuaje lakini tangu waanzishe hii kitu ikifika hiyo mida ya saa sita huwa natumia youtube, playstore, na naperuzi website yoyote na kudownload kupitia browser ya chrome na...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
habari wana jf natafuta new version ya hiyo game mimi nina ya mwaka 2004 kama kuna mwenye link ya new version anijuze natanguliza shukran
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Wadau angalieni ujumbe huu chini hapa. May the peace of God be with you and your family!! I want to inform you that your bank draft cheque of 300,000 dollar is now with United Bank for Africa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Salaam, Ni email account yangu ya muda mrefu sana, sija log in kwa miezi kadhaa, sasa kuna document muhimu nataka kuifoward mahali naambiwa haitambuliki... msaada tafadhali. Nimejaribu kucheki...
0 Reactions
4 Replies
911 Views
Betri inapobaki asilimia ngapi ya chaji inafaa kuchajiwa tena? Mwendo kasi wa kuchaji simu ya mkononi unabadilikabadilika. Baadhi ya wakati unaichaji simu yako kwa muda mfupi lakini inaweza...
5 Reactions
13 Replies
6K Views
Habarii za asubhii wadau.....shida yangu ni naweza pataje apps ambazo play store lazma ulipie ila kwa free bila kulipia.....njia gani naweza tumia kuzipta.....
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Salam wakuu, Habari za asubuhi? Natumaini kwema wakuu. Ningependa kushare site ya kudownload mp4 mobile movies japo ziko nyingi Ila personally naikubali sana hii. As you know wakuu sisi...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Nahitaji PeopleSoft FSCM kwa ajili ya kujifunzia, ningependa kupata zile VM images zinazotolewa na Oracle kwenye site yao (Hakan Biroglu: Installing PeopleSoft 9.2 pre-build virtual machine), sema...
0 Reactions
1 Replies
658 Views
Habari! Wakuu naombeni msaada wenu. Mimi natumia decoder ya x master q16. Sasa kwa sasa software yake imekwisha muda wake...sasa je naweza elekezwa jinsi ya kuidownload update software na kisha...
0 Reactions
0 Replies
712 Views
natumaini wote salama.. wakuu naomba msaada natafuta mtu ana provide server channel za iptv hasa chanel za bongo ndio muhim kwangu / sitaki application za bure wala links za bure nataka mtu anatoa...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
habari wakuu, juzi nilijaza wino kwenye printer yangu ya epson l800 lakin ghafka ikaanza kutoa picha za kufifia na hainipi meseji yoyote kama kuna tatizo. naomba ushauri wa nini nifanye.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nilitumia avg program baada ya kubadili line cm ikajilock, kwa bahati mbaya ipo offline nimejaribu kurudisha line ya awali bado inadai password nikiweka password haikubali. Msaada please kwa ajuae...
0 Reactions
1 Replies
731 Views
Habari zenu wadau, **Niliweka thread ya kwanza naona haikuwekwa hewani labda kuna yasiyowapendeza mods, kwa hyo hii ni edited, kwa ambao hawakubahatika kuisoma ya kwanza idea ilikuwa ni facebook...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau Kama mada inavyosomeka hapo juu mim ni mtumiaji mzuri wa bidhaa za kampuni ya Apple.... Nilivutiwa sana baada ya kusikia kua bidhaa haziathiriki na Viruses... Nimetumia simu za kampuni hio...
2 Reactions
38 Replies
4K Views
Vitu vyote vinavyohusina na simu kutoka kampuni ya Simu vya simu yao mpya aina Samsung galaxy Active inakuja kama mwendlezo wa simu waliyoitoa tayari ya Samsung galaxy S7 Vimevuja. Tetesi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za Leo rafiki zangu Naomba kupata l ink za TV za tz hasa ITV eatv azam 1 azam 2 star TV Naomba kwa anayefahamu hilo.
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Nahitaji software yenye database kwa ajili y pharmacy. Nataka nianze ku-store information digitally kuhusu bidhaa zilizotoka, zinazoingia expiration date na mauzo kwa ujumla.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Microsoft Corp announced morebig cutsto its smartphone business on Wednesday, just two years after it bought handset maker Nokia in anill-fated attempt to take on market leaders Apple and...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Damn! Every app, every software nashindwa ku root any ideas how to root Huawei y330!!?? Niweze kutoa System Apps
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Inajulikana kuwa android ,window,ios n.k ni oprrating system je naweza change android os kwenda wimdow os au ios n.k
0 Reactions
3 Replies
893 Views
Back
Top Bottom