Zipo taarifa za kutoka TCRA kuwa ifikapo June simu nyingi zitazimwa ,ambazo kwa viwango vyake sio halisi.
Kwa utafiti wangu huku mtaani kutakuwepo kilio ambacho na malalamiko huenda kushinda cha uhaba wa sukari.Hii ni kutoka na ukweli kuwa karibia kila familia inamiliki simu moja ,na ukizifuatilia nyingi si halisi.
Matumizi ya simu siku hizi sio jambo la hiyari limekuwa ni jambo la lazima kutokana na mtawanyiko wa watu na mahitaji, Nani hataguswa hats mie ntaguswa maana simu anayotumia mama yangu Kule kijijini huenda fake. Ina maana nnunue simu nyingine.
Najiuliza hivi hizi simu zimepitia wapi?
Je ,hii mamlaka in mpya? Nani atafidia gharama zetu? Je, hizi simu fake zimeiathiri nchi kwa kiwango gani?
Nawasilisha!
Kwa utafiti wangu huku mtaani kutakuwepo kilio ambacho na malalamiko huenda kushinda cha uhaba wa sukari.Hii ni kutoka na ukweli kuwa karibia kila familia inamiliki simu moja ,na ukizifuatilia nyingi si halisi.
Matumizi ya simu siku hizi sio jambo la hiyari limekuwa ni jambo la lazima kutokana na mtawanyiko wa watu na mahitaji, Nani hataguswa hats mie ntaguswa maana simu anayotumia mama yangu Kule kijijini huenda fake. Ina maana nnunue simu nyingine.
Najiuliza hivi hizi simu zimepitia wapi?
Je ,hii mamlaka in mpya? Nani atafidia gharama zetu? Je, hizi simu fake zimeiathiri nchi kwa kiwango gani?
Nawasilisha!