Msaada: Simu yangu haioneshi data!

TADPOLE

JF-Expert Member
Nov 18, 2015
2,908
9,447
jaman wandugu habari zenu simu yangu aina ya be model:UNO20 haionyesh alama za data pale juu lakini data zinawaka kama kawaida lakini huoni 3g,h+ wala nini na internet haifungui msaada tafadhali
 
jaman wandugu habari zenu simu yangu aina ya be model:UNO20 haionyesh alama za data pale juu lakini data zinawaka kama kawaida lakini huoni 3g,h+ wala nini na internet haifungui msaada tafadhali
Unatumia line gani?!
 
Back
Top Bottom