Kanunue tecno h6 hautajutia uamuzi wakoHabari wakuu!
Natafuta simu mpya inayo suppot 4G, bajeti yangu ni tsh 200,000/= lakini sijajua ni brand gani nitapata kwa sifa na bajeti hiyo... nipo dar!
Msaada tafadhali kwa mwenye kujua.
Kumbe unataka 4g sawa mkuu mi nilisema kutokana na pesa yakohaina 4g mkuu halaf h6 c ya toka 2014? au wametoa nyngne mkuu
ndio mkuu inaweza ila kuwa makini hizo j1 zipo nyingi ninayoizungumzia mimi ina ram 1gb na 4g.asante
mkuu! vip bajeti yangu inaweza kukidhi hzo brand??
haina 4g mkuu halaf h6 c ya toka 2014? au wametoa nyngne mkuu
J100.Ndio utapta kwa hiyo pesa.Ila j111.Ambyo ina 4g.Suwezi pata.Ungepanda kidogondio mkuu inaweza ila kuwa makini hizo j1 zipo nyingi ninayoizungumzia mimi ina ram 1gb na 4g.
yap inasuportHivi Samsung galaxy note 3 inasupport 4G?
then ikipanda hio bei na j2 itauzwaje? akikuta ni bei ghali zaidi ya hio ni bora aachane nayoJ100.Ndio utapta kwa hiyo pesa.Ila j111.Ambyo ina 4g.Suwezi pata.Ungepanda kidogo
then ikipanda hio bei na j2 itauzwaje? akikuta ni bei ghali zaidi ya hio ni bora aachane nayo
mpya mkuu, duka la samsung sijui hata kama wanazo, itabidi utafute maduka ya watu binafsi inaweza ongezeka elfu 10 au 20 sio mbaya ila ikizidi hapo ni bora j2 kwa 250,000 hadi 300,000.Kwa hiyo mkuu kwa hii laki 2 napata J1 kwenye maduka ya Samsung kabisa au ni bei ya mkononi bro...?.
Thanks a lot.
sasa wewe unataka simu ya kisasa yenye 4g kwa 200,000/- budget yako ni ya h6 , vinginevyo subiri uingizwe mjinihaina 4g mkuu halaf h6 c ya toka 2014? au wametoa nyngne mkuu
Nadhani zinazima mkononi sio dukaniMkuu, put on hold hilo zoiezi mpaka TCRA wamalize zoezi la kuzima simu feki...