TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,738
- 24,235
Nimekuwa naona post kadhaa humu zikionesha faida wanazopata wenye page za Facebook, Instagram nk kuwa wanapata faida au kunufaika kuyokana na matangazo au viewers wanaotembelea page hizo.
Hivyo basi napenda nijue ni njia gani nitumie ili na mimi ninufaike na wanaotembelea ukurasa wangu wa facebook kuangalia kile nilichoweka kwa ajili yao?.
Nawasilisha.
Hivyo basi napenda nijue ni njia gani nitumie ili na mimi ninufaike na wanaotembelea ukurasa wangu wa facebook kuangalia kile nilichoweka kwa ajili yao?.
Nawasilisha.