Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

salaam wakuu mimi ni blogger namiliki website yangu nahitaji kuiweka kuwa mtembeleaji wangu asiweze kucopy kama ilivyo bongo5 msaada plz
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nilipost naomba msaada Wa Mozilla Firefox haifunguki na yapata wiki tatu sasa sijapata msaada huo. Kimsingi nimechukizwa sana na kitendo hiki ila Post zenye misaada ya Techno ndo zina comment...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari njema watumiaji wa windowphone sasa kuna VPN japo ilikuwepo muda mrefu ila hii ya sasa kiboko, unachagua hadi nchi utakayo. na kwa mara ya kwanza naweza ona online tv za marekani kama...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu nimekua nikijiunga na Offer ya Kifurushi cha Halotel cha week kwa mda wa miezi 3 sasa na nimekua natumia vizuri tuu Hotspot. Tatizo limeanza Jana nilipokuta kuna mabadiliko ya Vifurushi vya...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Msaada wenu wadau,nimefanya restore ya simu yangu,nimefungua google account mpya..kila nikitaka kudowload application inakataa.Naomba kama kuna app zaidi ya hii aiweke hapa hii imenishinda!
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Naombeni msaada anayeweza jua app inayoweza kucompress movie, folder, music zikapungua ukubwaa iwe kwenye android device au PC. Nimejaribu kugoogle lakini sijafakiwa.
0 Reactions
6 Replies
872 Views
Simu ina mwaka mmoja tangu inunuliwe na Inaoperate vizuri tu. Ila kwa sasa betri yake imeshaanza kuchoka. Naomba kujuzwa kama betri mpya za Hii simu zinapatikana. NB: Nimeangalia kupitia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Welcome To StartMySafari
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Ninataka kutengeneza online store nipeni ushauri maana kuna app wakati naipublish kwenye google store mwisho niambiwa niandike url ambayo app hiyo itapatikana yaani online store na mimi sina website
0 Reactions
4 Replies
997 Views
wadau mko poa ? kama kichwa juu kinavyosema mimi kwa upande wangu namashaka na simu za TECNO kwa sababu weng wanaoomba msaada humu jf,fb & whatsapp ni kuhusiana na simu hz ni mara chache kuona...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Msaada kidogo wadau mie sio mtalaamu sana wa laptop ila ila Nina laptop yangu moja yakizamani zamani aina ya Dell Latitude d620 inanisumbua sana battery naweza kupata wapi? Kama utajua na bei...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
hebu nisaidieni wadau Hii PC yangu nilijaribu kuinstall GTA 4 vice city game lakini baada ya Kuinstall hili game nilipojaribu kulifungua linagoma inakuja Meseji ya "not enough video memory" sasa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
accounts za adsense zinauzwa kwa bei ya sh 10000 kwa kila accounts na kama unataka nyingi i mean zaid ya moja tunaweza kuingia patnership kila baada ya siku 3 nakutengenezea accounts as many as u...
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Wenye ving'amuzi vya Startimes tunaweza kuangalia fainali za UEFA CHAMPIONS LEAGUE ?
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Ni zile saa za kijanja Kwa mawasiliano zaidi WhatsApp namba +255652971495
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Wadau hivi simu yangu ndo setting haziko poa au coz nikiweka line ya halotel sipati hotspot ili kuweza kutumia net ya simu kwenye laptop, sijajua tatizo ni nini ila natumia iphone 5 au kwa iphone...
0 Reactions
30 Replies
9K Views
Wadau naomba msaada wenu juu Ya MADHARA Ya ku root SIMU. Binafsi SIMU yangu nimei root Sasa ningependa kufaham MADHARA yake. Naomba kuwasilisha
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Zipo katika hali nzuri pamoja na pad zake, flash zake na games. Bei ni sh. 150000 kwa moja. Zipo mbili. Kwa mawasiliano 0717 743549 Nipo Arusha.
2 Reactions
0 Replies
702 Views
Ndugu zangu wapendwa naomba msaada wa kuweka matenki ya wino ya nje kama ya Hp na Epson.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom