Ni namna gani mtu anaweza aka play na ku download movie bila kuwa na kifurushi cha data?

Tony guy

Senior Member
Sep 29, 2015
107
44
Husika na Kichwa hapo Juu Mimi ni mmiliki wa website moja ya movie, katika website yangu mtu anakuwa analipia kiasi fulani kwaajili ya kuwa member katika website hiyo sasa nimekaa nikafikiria hili niwatendee haki wateja wangu ni bora wawe wana peruzi na kudownload movie bure kabisa yaani hata asipo kuwa na mb awe ana uwezo wa kuingia katika website na kufanya anacho hitaji, sasa nyie kama member wa JF naimani mnajua vitu vingi sana ningependa kujua hiyo system ya mtu awe anaperuzi kwenye website yangu hata asipo kuwa na mb inapatikana? na inapatikana kwa mfumo hupi?
CHIEF MKWAWA
 
mkuu haya makampuni ya simu yamekua kama makaburu! Wizi mtupu Airtel ukinunua kifurushi cha net cha 600 pamoja na muda wa maongezi, wanakwambia wamekupa GB 1.2 lakini ukitumia Mb 500 inakwambia kifurushi chako kimekwisha yaani haya makampuni yatumbuliwe jamani.
 
mkuu haya makampuni ya simu yamekua kama makaburu! Wizi mtupu Airtel ukinunua kifurushi cha net cha 600 pamoja na muda wa maongezi, wanakwambia wamekupa GB 1.2 lakini ukitumia Mb 500 inakwambia kifurushi chako kimekwisha yaani haya makampuni yatumbuliwe jamani.
ushahidi? bila kuwa na ushahidi inakuwa ngumu, umejuaje kuwa umetumia mb500 tu? je kama una spyware kwenye kifaa chako anafanya kazi chini kwa chini anaiba data zako na kumaliza mb sisi tutajuaje?

unatakiwa uwe na application inayoangalia matumizi ya data ili ujue exactly kiasi gani unatumia hata ukiushtaki mtandao unakuwa na vigezo
 
ushahidi? bila kuwa na ushahidi inakuwa ngumu, umejuaje kuwa umetumia mb500 tu? je kama una spyware kwenye kifaa chako anafanya kazi chini kwa chini anaiba data zako na kumaliza mb sisi tutajuaje?

unatakiwa uwe na application inayoangalia matumizi ya data ili ujue exactly kiasi gani unatumia hata ukiushtaki mtandao unakuwa na vigezo
MKUU Chief-Mkwawa mfano application gani ya kukagua matumizi ya data
 
haiwezekani, labda ufanye biashara na mitandao ya simu watu wasikatwe hela kwenye website yako halafu wewe ndio uilipe mitandao ya simu
sawa CHIEF MKWAWA lakini kuna developer mmoja aliniambia inawezekana nikiwa na sever yangu binafsi na aliniambia server ni 350k kwa mwezi je! kunaukweli wowote kuwa sever inaweza kufanya kazi ya free internet
 
sawa CHIEF MKWAWA lakini kuna developer mmoja aliniambia inawezekana nikiwa na sever yangu binafsi na aliniambia server ni 350k kwa mwezi je! kunaukweli wowote kuwa sever inaweza kufanya kazi ya free internet
hapana server haifanyi utumie internet bure unless utengeneze wifi mtaani kwenu iwe watu wanaconect tokea server yako kwa wifi. na hii range yake ni nyumba mbili tatu.
 
Mkuu CHIEF MKWAWA ni site gani ambayo naweza nidownload movie ukiachana na vuze na utorrent maana vuze nikiingia inanabakiza yale matangazo ya alibaba nikiwana nafanya kazi ghafla unaona limekuja nimeclear caches zote bado yanakuja je nifanyeje kutoa pili torent gani nzuri haiji hizo embedded adverts
 
Asante ila zinachukua mda mrefu sana bila msaada wa torrent si tutakesha hapa?pia hakuna option ya kusearch! kama unamovie unakuwa unaitafuta!
kuchukua muda hio ni internet yako tu.

hizo movie wame zi sort kwa alphabet toka A kwenda Z unachotakiwa wewe ni kujua movie unayoitaka imetoka mwaka gani. ukishaupata click huo mwaka halafu kwenye keyboard yako bonyeza ctrl+F halafu andika jina la movie. mfano movie inaitwa monster hunter andika tu neno monster au hunter utaona inakuja.

pia kuna site ya kuangalia online (unaweza download kwa idm au software zinazocapture video za online) kuna member alipost humu.

nenda hapa utaipata
Watch Movies Online
 
haiwezekani, labda ufanye biashara na mitandao ya simu watu wasikatwe hela kwenye website yako halafu wewe ndio uilipe mitandao ya simu
Hivi hiki ndo Facebook wanakifanya?

Halafu mtoa Mada Amenikumbusha Kipindi cha TroidVPN.. Salio 0 unakula 1GB per day
 
Back
Top Bottom