Nizzoh824
JF-Expert Member
- Apr 27, 2016
- 239
- 140
Habari zenu wakubwa
Ni muda sasa nimekua nikisikia watu wanasema kuhusu ku root cm lakini sielewi kwasabababu ni mgen katika hivi vitu hivyo jamani nlikua naomba mwenye ufahamu na hivi vitu kwamba unapo root simu unaipa uwezo gani?, pili jinsi ya kutambua kama simu ni rooted na tatu jinsi ya ku root, ni hayo tu
Asubuh njema
Ni muda sasa nimekua nikisikia watu wanasema kuhusu ku root cm lakini sielewi kwasabababu ni mgen katika hivi vitu hivyo jamani nlikua naomba mwenye ufahamu na hivi vitu kwamba unapo root simu unaipa uwezo gani?, pili jinsi ya kutambua kama simu ni rooted na tatu jinsi ya ku root, ni hayo tu
Asubuh njema