Tatizo laweza kuwa nini hapa?

Tatizo laweza kuwa nini hapa?

Kaparo

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2013
Posts
2,247
Reaction score
5,451
Habari za mida .
Katika matumizi ya kawaida ya pc yangu imepatwa na shida hii ambayo mpaka sasa sijajua nini tatizo au chanzo.
Kwa muda nimetumia kucheza games, kusomea na kuvinjari.
Hivi sasa nikiiwasha inaanza kutoa sauti kama feni inazunguka na nikifungua folder inaload pamoja na kukwama hivyo mpaka uizime.
Natumia windows 10 pro.
Model ya pc ni hp probook 440 g3.
Msaada wadau.
becb14d67e813ddb7f815a4f0899da33.jpg
 
Pia nikitaka ku-run program inaonyesha "blank".. Inaganda kwa muda kisha inarudi ktk home screen ya kawaida.
 
Habari za mida .
Katika matumizi ya kawaida ya pc yangu imepatwa na shida hii ambayo mpaka sasa sijajua nini tatizo au chanzo.
Kwa muda nimetumia kucheza games, kusomea na kuvinjari.
Hivi sasa nikiiwasha inaanza kutoa sauti kama feni inazunguka na nikifungua folder inaload pamoja na kukwama hivyo mpaka uizime.
Natumia windows 10 pro.
Model ya pc ni hp probook 440 g3.
Msaada wadau.
becb14d67e813ddb7f815a4f0899da33.jpg
Zima pc toa battery fungua upande wa chini usawa wa ram itoe ram kwenye slot iliyopo amishia slot nyingine kwa kawaida probook ina slot mbili za kuweka ram hivyo moja uwa wazi so kwa ile isiyo na. Ram toa ram kule kwenye slot ya kwanza then ipachike vizuri usiiguse ram kwenye meno yake akafu rudisha cover la chini vizuri maana huwa ni la kupachika auitaji vifaa vya kufungulia baada ya hapo washa pc yako enjoy
 
Back
Top Bottom